Pages
Thursday, November 14, 2019
NSSF YAZINDUA KAMPENI YA KUBORESHA TAARIFA ZA WANACHAMA WAO
Meneja
Mahusiano na Elimu kwa Umma wa NSSF Bi Lulu Mengele (kushoto) akiwa na
Meneja Matekelezo na Uandikishaji wa NSSF, Bw. Joseph Fungo (kulia)
wakionyesha fomu wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Boresha Taarifa na
NSSF mwanachama uliofanyika jijini Dar es Salaam.Meneja
Mahusiano na Elimu kwa Umma wa NSSF Bi Lulu Mengele (wa kwanza kushoto)
akifafanua juu ya kadi wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Boresha Taarifa
na NSSF, wengine Meneja Matekelezo na Uandikishaji wa NSSF, Bw. Joseph
Fungo (wa katikati) na Afisa Uhusiano Mwandamizi wa NSSF, Bi. Janet
Ezekiel.Kupitia kampeni ya
Boresha Taarifa na NSSF mwanachama akiwa na kitambulisho cha Taifa
atatakiwa kujaza taarifa chache. Meneja Kiongozi, Uhusiano, Elimu kwa
Umma wa NSSF, Lulu Mengele, alisema kampeni hiyo itakuwa endelevu,
inayolenga kuwapa huduma bora na kwa wakati wanachama wapya na wa zamani
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment