Tuesday, October 29, 2019

MAJALIWA AREJEA NCHINI



Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  na Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam ,Oktoba 29, 2019 wakati  alipowasili nchini akitoka nchini  Azerbaijan ambako alimwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika mkutano wa Nchi zisizofungamana na upande wowote ulifanyika jijini Baku. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments :

Post a Comment