Wednesday, June 5, 2019

WATANZANIA WAISHIO DENMARK,ICS WASHEREHEKEA SIKUKUU YA EID -EL-FITR NA WATOTO WENYE UALBINO

Afisa Huduma kwa jamii kutoka Idara ya huduma za uangalizi,Wizara ya Mambo ya Ndani, Monica Dawa akigawa juisi kwa watoto.
Shirika lisilo la kiserikali la Investing in Childrean and Societies (ICS Africa) kwa kushirikiana na Watanzania Waishio Denmark,shirika la CIS na familia ya Robert Mugeta iliyopo Marekani wamesherekea Sikukuu ya Eid El-Fitr pamoja na Watoto wenye mahitaji maalumu (wenye ualbino,viziwi na wasioona) waliopo katika bweni la Shule ya Msingi Buhangija 'Kituo cha Buhangija' Mjini Shinyanga.

No comments :

Post a Comment