Spika
wa Bunge Mhe. Job Ndugai akiongoza harambee kwa ajili ya ukarabati wa
ujenzi wa kanisa la Anglikana la Mtakatifu Andrea katika sherehe za
Kumbukizi ya Mtemi Mkuu wa Ugogo Paramount Chief Daudi Solomon Mazengo
Chalula tukio lililofanyika leo katika kijiji cha Mvumi Makulu Mkoani
Dodoma. Kanisa lililojengwa na Mtemi huyo
Spika
wa Bunge Mhe. Job Ndugai akiongoza harambee kwa ajili ya ukarabati wa
ujenzi wa kanisa la Anglikana la Mtakatifu Andrea katika sherehe za
Kumbukizi ya Mtemi Mkuu wa Ugogo Paramount Chief Daudi Solomon Mazengo
Chalula tukio lililofanyika leo katika kijiji cha Mvumi Makulu Mkoani
Dodoma. Kanisa lililojengwa na Mtemi huyo
Spika
wa Bunge Mhe. Job Ndugai akiongoza harambee kwa ajili ya ukarabati wa
ujenzi wa kanisa la Anglikana la Mtakatifu Andrea katika sherehe za
Kumbukizi ya Mtemi Mkuu wa Ugogo Paramount Chief Daudi Solomon Mazengo
Chalula tukio lililofanyika leo katika kijiji cha Mvumi Makulu Mkoani
Dodoma. Kanisa lililojengwa na Mtemi huyo
Spika
wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na viongozi Mbali
mbali wa dini alipowasili kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za azimisho la
Kumbukizi ya Mtemi Mkuu wa Ugogo Paramount Chief Daudi Solomon Mazengo
Chalula yaliyofanyika leo katika Kijiji cha Mvumi Makulu Mkoani Dodoma.
kushoto ni Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dodoma, Dkt.
Dickson Chilongani.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wapili kulia) akimsikiliza Mhe. Balozi Job Lusinde wakati wa sherehe za azimisho
la Kumbukizi ya Mtemi Mkuu wa Ugogo Paramount Chief Daudi Solomon
Mazengo Chalula yaliyofanyika leo katika Kijiji cha Mvumi Makulu Mkoani
Dodoma.
Spika
wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiweka shada la maua katika kaburi la
aliyekuwa Mtemi Mkuu wa Ugogo Paramount Chief Daudi Solomon Mazengo
Chalula wakati wa sherehe za azimisho la Kumbukizi ya Mtemi Mkuu wa
Ugogo Paramount Chief Daudi Solomon Mazengo Chalula zilizofanyika leo
katika Kijiji cha Mvumi Makulu Mkoani Dodoma. Wa kwanza kulia ni Askofu
Mkuu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dodoma, Dkt. Dickson Chilongani
Spika
wa Bunge Mhe. Job Ndugai akikata utepe kuzindua kitabu cha kumbukumbu
ya aliyekuwa Mtemi Mkuu wa Ugogo Paramount Chief Daudi Solomon Mazengo
Chalula tukio lililofanyika leo katika kijiji cha Mvumi Makulu Mkoani
Dodoma wakati wa sherehe za azimisho la kumbukizi ya Mtemi huyo
Spika
wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mvumi
Makulu wakati wa sherehe za azimisho la kumbukizo ya Mtemi Mkuu wa Ugogo
Paramount Chief Daudi Solomon Mazengo Chalula tukio lililofanyika leo
katika kijiji cha Mvumi Makulu Mkoani Dodoma.
Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dodoma, Dkt. Dickson Chilongani akiongoza ibada
ya shukrani ya Kumbukumbu ya Mtemi Mkuu wa Ugogo Paramount Chief Daudi
Solomon Mazengo Chalula iliyofanyika leo katika kijiji cha Mvumi Makulu
Mkoani Dodoma.
Wananchi
Mbali mbali wa Kijiji cha Mvumi Makulu Mkoani Dodoma wakiwa katika
ibada ya shukrani ya Kumbukumbu ya Mtemi Mkuu wa Ugogo Paramount Chief
Daudi Solomon Mazengo Chalula iliyofanyika leo katika kijiji cha Mvumi
Makulu Mkoani Dodoma.
Spika
wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiongozana na Askofu Mkuu wa Kanisa
la Anglikana Dayosisi ya Dodoma, Dkt. Dickson Chilongani baada ya
kuweka shada ya maua katika kaburi la aliyekuwa Mtemi Mkuu wa Ugogo
Paramount Chief Daudi Solomon Mazengo Chalula tukio lililofanyika leo
katika kijiji cha Mvumi Makulu Mkoani Dodoma.
No comments :
Post a Comment