Wednesday, May 29, 2019

BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA LAIDHINISHA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI YA SH. TRILIONI 2.142 KWA MWAKA WA FEDHA WA 2019/20

 Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani na Naibu wake Mhe. Subira Mgalu, wakipongezwa na wabunge baada ya bajeti ya wizara hiyo kupitishwa na wabunge jijini Dodoma Mei 29, 2019. Wizara hiyo ililiomba bunge kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi kwa wizara hiyo yanayofikia kiasi cha shilingi Trilioni 2.124.
 Dkt. Kalemani akisalimiana na Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO), Dkt. Alexander Kyaruzi nje ya viwanja vya bunge baada ya bajeti ya wizara hiyo kupitishwa na bunge.
 Dkt. Kalemani akizungumza bungeni jijini Dodoma muda mfupi kabla ya wabunge hawajapitisha bajeti yake.
 Katibu Mkuu wizara ya Nishati Dkt. Mwinyimvua (katikati), akibadilishana mawazo na wabunge na viongozi wengine 







No comments :

Post a Comment