Tuesday, January 1, 2019

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AWASILI KISIWANI PEMBA KUHUDHURIA UZINDUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KUADHIMISHA MIAKA 55 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR NA BONAZA LA WANACHEZO LEO UWANJA WA GOMBANI


IMG_4785
/RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduz Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla. wakati akiwasili Uwanja wa Ndege wa Pemba kuhudhuria Uzinduzi wa Miradi ya Maendeleo kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar na kesho kuhudhuria Mazoezi ya Viungo ya Kitaifa katika Uwanja wa Gombani Pemba.

IMG_4788
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba. Mhe. Hemed Suleiman Abdalla, alipowasili katika Uwanja wa Ndege Kisiwani Pemba leo jioni,31-12-2018, kuhudhuria Uzinduzi wa Miradi ya Maendeleo kuadhimisha shamrashamra za Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar na kushiriki Mazoezi ya Viungo ya Kitaifa yatakayofanyika kesho katika Uwanja wa Gombani.(Picha na Ikulu)

No comments :

Post a Comment