Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Dkt. Damas
Ndumbaro akiwasilisha Taarifa ya Wizara yake kuhusu Utekelezaji wa afua
za UKIMWI mahali pa kazi kwa wizara na namna inavyoshirikiana na Mataifa
mengine katika mapambano dhidi ya madawa ya kulevya katika Kikao cha
Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI kilichofanyika katika Ofisi za
Bunge Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Masuala
ya UKIMWI, Mhe. Oscer Mukasa akiongoza kikao cha Kamati hiyo
kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Masula ya
UKIMWI, wakiwa katika kikao kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini
Dodoma. Kamati hiyo ilipokea na kujadili Taarifa ya Wizara ya Mambo ya
Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa kuhusu
Utekelezaji wa afua za UKIMWI mahali pa kazi kwa wizara na namna
inavyoshirikiana na Mataifa mengine katika mapambano dhidi ya madawa ya
kulevya
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Masula ya
UKIMWI, wakiwa katika kikao kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini
Dodoma. Kamati hiyo ilipokea na kujadili Taarifa ya Wizara ya Mambo ya
Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa kuhusu
Utekelezaji wa afua za UKIMWI mahali pa kazi kwa wizara na namna
inavyoshirikiana na Mataifa mengine katika mapambano dhidi ya madawa ya
kulevya
No comments :
Post a Comment