Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akimjulia hali Mbunge wa Misungwi, Charles Kitwanga ambaye amelazwa
katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma kwa matibabu, Januari
30, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akimpa pole, Mkuu wa wilaya ya Bahi, Mwanahamisi Mkunda ambaye
anamuuguza mwanae, Tunu Kikula aliyelazwa katika hospitali ya Benjamin
Mkapa jijini Dodoma kwa matibabu, Januari 30, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa
katika picha ya pamoja na baadhi ya madaktari na wauguzi wa Kitengo cha
Kusafisha Damu katika hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma wakati
alipowajulia hali wagonjwa hospitalini hapo, Januari 30, 2019. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments :
Post a Comment