Thursday, November 1, 2018

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA WATENDAJI WAKUU WA NMB DODOMA


 Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akiwa katika picha ya pamoja na Watendaji Waku wa Benki ya NMB Dodoma waliomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma hii leo Novemba 1, 2018.
 Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akipeana mkono na Mkuu wa Kitengo cha Biashara ya Makampuni na Serikali wa Benki ya NMB Ndg. Filbert Mponzi alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma hii leo Novemba 1, 2018. 
Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akizungumza jambo na Watendaji Waku wa Benki ya NMB Dodoma waliomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments :

Post a Comment