Msanii Chin Beez akimkabidhi simu
aina ya Tecno R6 na Tiketi ya kwenda kushuhudia Tamasha la Tigo Fiesta
Vibe Kama Lote mteja wa Tigo, Lole Kway. Ndani ya msimu huu wa Tigo
Fiesta wateja wanaoenda kupata huduma kwenye maduka wanapata zawadi
mbalimbali.
Msanii, Dogo Janjaroo akigawa vipeperushi kwa wateja ndani ya Duka.
Meza ya Majaji ikiongozwa na
Adam Mchomvu(katikati) na kulia, Joh Makini na kushoto ni Evans Lyatuu
toka Moshi Fm kwenye kinyang’anyiro cha kumpata mwakilishi wa Tigo
Fiesta Supa Nyota toka mkoa wa Kilimanjaro leo.
Msanii atakaye uwakilisha mkoa
Kilimanjaro kwenye fainali za Tigo Fiesta Supa Nyota 2018, Samson Msweta
maarufu kama Samson Classic akiimba kwa staili ya kufokafoka kwenye
kinyang’anyiro cha kumpata mwakilishi huo leo kwenye viwanja vya Hugo.
Msanii Richie Mavoko akisaidia
kutoa Huduma kwa mteja wa Tigo Pesa, Bi. Gloria Mushi kwenye Duka la
Tigo lililopo barabara ya Mawenzi mjini Moshi
Msanii Rose Ree akisaidiana na
mtoa Huduma wa Duka laTigo barabara ya Mawenzi mjini Moshi, Felister
Tarimo leo mara baada ya wasanii kutembelea Duka hilo.
Msanii Chin Beez
akitoa hiduma kwa wateja walioenda kupata huduma ndani ya Duka la Tigo
lililopo barabara ya Mawenzi mjini Moshi leo.
No comments :
Post a Comment