Fundi Mchundo
Bw. Fadhili Amiri, akitoa ufafanuzi kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, (wa pili kushoto) kuhusu kazi
anazozifanya wakati alipokuwa akikagua
hatua za ujenzi wa barabara ya Usesula-Komanga yenye urefu wa KM 108 kwa
kiwango cha lami, mkoani Tabora.
Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akikagua mchanga
unaotumika kutengenezea madaraja na makalvati katika ujenzi wa barabara ya
Usesula-Komanga yenye urefu wa KM 108 kwa kiwango cha lami, na kutoridhishwa na
ubora wake, mkoani Tabora.
Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, (wa kwanza) akisisitiza
jambo kwa Mkandarasi wa Kampuni ya SAMOTA Bw. Abdallah Salim, kuhusu
kukamilisha mradi huo kwa wakati, mara baada ya kukagua hatua za maendeleo ya
ujenzi wa barabara ya Urambo-Kaliua yenye urefu wa KM 28, Mkoani Tabora.
Muonekano wa
sehemu ya barabara ya Usesula-Komanga
yenye urefu KM 108 inayojengwa kwa kiwango cha lami, mkoani Tabora. Mradi wa
ujenzi huo utakamilika mwezi Machi mwaka 2021.
No comments :
Post a Comment