Friday, August 31, 2018

HALMASHAURI NCHINI ZATAKIWA KUWA NA MIKAKATI YA MAWASILIANO


 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Mhandisi Godfrey Sanga akifafanua jambo mbele ya wageni kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo pamoja na viongozi wa Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikali (TAGCO) walipomtembelea ofisini kwake leo. Ujumbe huo upo katika ziara ya kutembelea Maafisa Habari wa Mikoa ya Kanda ya Kati inayohusisha Tabora, Singida na Dodoma ikiwa ni utekelezaji wa maazimio ya Kikao Kazi cha Maafisa Mawasiliano Serikali kilichofanyika mapema mwezi machi mwaka 2018. Kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa TAGCO, Sarah Kibonde Msika na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari –MAELEZO, Bibi. Zamaradi Kawawa.
 Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari –MAELEZO, Bibi. Zamaradi Kawawa, akimwelezea jambo Afisa Habari wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama mkoani , Omari Mtamike walipomtembelea ofisini kwake leo. Ujumbe huo upo katika ziara ya kutembelea Maafisa Habari wa Mikoa ya Kanda ya Kati inayohusisha Tabora, Singida na Dodoma ikiwa ni utekelezaji wa maazimio ya Kikao Kazi cha Maafisa Mawasiliano Serikali kilichofanyika mapema mwezi machi mwaka 2018. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa TAGCO, Sarah Kibonde Msika.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Mhandisi Godfrey Sanga (katikati) akiwa katika picha ya pamoja ujumbe kutoka Wizara ya Habaari, Utamadduni, Sanaa na Michezo pamoja na viongozi wa Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikali (TAGCO) walipomtembelea ofisini kwake leo. Ujumbe huo upo katika ziara ya kutembelea Maafisa Habari wa Mikoa ya Kanda ya Kati inayohusisha Tabora, Singida na Dodoma ikiwa ni utekelezaji wa maazimio ya Kikao Kazi cha Maafisa Mawasiliano Serikali kilichofanyika mapema mwezi machi mwaka 2018.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Mhandisi Godfrey Sanga (kushoto) na Mweka Hazina wa Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikali (TAGCO), Gerald Chami mara baada ya kumaliza ziara ya ujumbe kutoka Wizara ya Habari, Utamadduni, Sanaa na Michezo pamoja na viongozi wa Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikali (TAGCO)  leo. Ujumbe huo upo katika ziara ya kutembelea Maafisa Habari wa Mikoa ya Kanda ya Kati inayohusisha Tabora, Singida na Dodoma ikiwa ni utekelezaji wa maazimio ya Kikao Kazi cha Maafisa Mawasiliano Serikali kilichofanyika mapema mwezi machi mwaka 2018.Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari –MAELEZO, Bibi. Zamaradi Kawawa. (Picha na: Idara ya Habari –MAELEZO, Singiida)

No comments :

Post a Comment