Thursday, May 3, 2018

MATUKIO YA MHE.WAZIRI MKUU BUNGENGI 3.5.2018


PMO_9144
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na Mbunge wa Sumve, Richard Ndasa kwenye viwanja vya Bunge Jijini Dodoma Mei 3, 2018.
PMO_9114
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji la Tanzania (TBC), kwenye viwanja vya Bunge Jijini Dodoma Mei 3, 2018, kutoka kushoto ni Godfrey Nago, Abdulhamid Nzota na Mtumishi wa Wizara ya Ujenzi, Stanford Matovolwa
PMO_9099
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na Mbunge wa Kilombero Peter Lijualikalikwenye viwanja vya Bunge Jijini Dodoma Mei 3, 2018
PMO_9107
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum, Lucy Mayengakwenye viwanja vya Bunge Jijini Dodoma Mei 3, 2018.
PMO_8800
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali bungeni Jijini Dodoma Mei 3, 2018
PMO_8930
Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumza, bungeni Jijini Dodoma Mei 3, 2018
PMO_8982
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na Mbunge wa Chemba, Juma Nkamia Bungeni Jijini Dodoma Mei 3, 2018
PMO_9081
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum, Anne Kilango Malecela, Bungeni Jijini Dodoma Mei 3, 2018.
Picha na  Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments :

Post a Comment