Waziri wa Habari Utalii na Mambo
ya Kale Mahmoud Thabit Kombo kulia akipata maelezo kutoka kwa Fundi Mkuu
wa ZBC Ali Aboud wakati akitembelea sehemu ya mitambo ya ZBC Redio
katika Ziara maalum ya kutembelea Idara mbalimbali za Wizara hio
Zanzibar.
Waziri wa Habari Utalii na Mambo
ya Kale Mahmoud Thabit Kombo kulia akizungumza ndani ya Studio ya Spice
FM Radio ilioko Rahaleo wakati akiwa katika Ziara maalum ya kutembelea
Idara mbalimbali za Wizara hio Zanzibar.
Waziri wa Habari Utalii na Mambo
ya Kale Mahmoud Thabit Kombo akitoa maelekezo kwa Waandishi wa Habari
wa ZBC Radio ilioko Rahaleo wakati akiwa katika Ziara maalum ya
kutembelea Idara mbalimbali za Wizara hio Zanzibar.
Waziri wa Habari Utalii na Mambo
ya Kale Mahmoud Thabit Kombo akifahamisha jambo alipokuwa katika ziara
yake katika Kitengo cha ZMUX ambacho kinahusika na uuzaji wa Vin’gamuzi
Rahaleo mjini Zanzibar .
Waziri wa Habari Utalii na Mambo
ya Kale Mahmoud Thabit Kombo kushoto akipata maelezp kutoka kwa
Muhandisi Mkuu wa Zmux Noura Decosta wakati akitembelea katika Kitengo
cha ZMUX ambacho kinahusika na uuzaji wa Vin’gamuzi Rahaleo mjini
Zanzibar .
Waziri wa Habari Utalii na Mambo
ya Kale Mahmoud Thabit Kombo kulia akipata maelezo kutoka kwa
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Hassan Vuai wakati akitembelea
Idara hio Rahaleo mjini Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI./MAELEZO ZANZIBAR.
No comments :
Post a Comment