Hayo yamebainishwa wakati wa maadhimisho ya Siku ya Maji
Duniani ,ambapo kampuni iliitumia kuendesha semina kwa watendaji wake
kutoka vitengo mbalimbali ambapo walipata fursa ya kujadiliana matumizi
sahihi ya mifumo ya uzalishaji inayotumiwa na kampuni inayolenga
kupunguza matumizi ya maji sambamba na utunzaji wa mazingira.
TBL Group inaliangalia suala la utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji sio kwa kiwango cha maslahi ya viwanda vyake kupata malighafi tu, bali kwa jamii nzima ambapo kampuni inafanyia biashara , kwa kuwa sera ya kujenga Dunia Maridhawa inashahabiana Malengo Endelevu ya Umoja wa Mataifa (SDGs) na suala la utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji ni moja ya suala ambalo limepewa umuhimu mkubwa.

TBL Group inaliangalia suala la utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji sio kwa kiwango cha maslahi ya viwanda vyake kupata malighafi tu, bali kwa jamii nzima ambapo kampuni inafanyia biashara , kwa kuwa sera ya kujenga Dunia Maridhawa inashahabiana Malengo Endelevu ya Umoja wa Mataifa (SDGs) na suala la utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji ni moja ya suala ambalo limepewa umuhimu mkubwa.
Meneja wa Kiwanda cha bia cha Tbl Group Ilala jijini Dar es Salaam, Calvin Martin akitoa mada juu ya maji kwa wafanyakazi wenzake wakati wa Siku ya maji.
Wafanyakazi wa TBL wakifuatilia mada mbdalimbali wakati wa semina ya kuadhimisha Siku ya Maji Duniani.
Wafanyakazi wa TBL wakifuatilia mada mbdalimbali wakati wa semina ya kuadhimisha Siku ya Maji Duniani.
Wafanyakazi wa TBL wakifuatilia mada mbdalimbali wakati wa semina ya kuadhimisha Siku ya Maji Duniani.
No comments :
Post a Comment