Wednesday, March 7, 2018

DC MATIRO AFUNGUA KIKAO CHA UELIMISHAJI KUHUSU MPANGO WA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI SHINYANGA

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro amefungua kikao  cha uelimishaji kuhusu Mpango wa Anwani za Makazi na Postikodi  kwa ajili ya kuwajengea uelewa na uwezo viongozi na watendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga ili waweze kutekeleza mpango huo ipasavyo kwa kushirikisha wadau mbalimbali.

No comments :

Post a Comment