Sunday, March 25, 2018

AJALI YADAIWA KUSABABISHA VIFO 26 MKURANGA, RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI


 2
Watu 26 wamekufa na wengine  wamejeruhiwa baada ya Hiace kugongana na lori katika Kijiji cha Mparanga wilayani Mkuranga, Kaimu kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Kibiti, Mohamed Likwata amethibitisha tukio limetokea Usiku wa kuamkia Leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa  Mkuu wa mkoa wa Pwani Injinia Evarist Ndikilo na famili za marehemu walipoteza maisha katika ajali hiyo na waliopata majeraha.
Tunaendelea kufuatilia zaidiii
index
4
1
3

No comments :

Post a Comment