Waziri wa Nishati Mhe. Medadi
Kalemani akizungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Wizara ya Nishati Dkt.
Hamisi Mwinyinvua kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Majadiliano wa
Miundombinu ya Uchukuzi, Fedha na Afya leo unaofanyika katika ukumbi wa
mikutano wa Speke Resort Munyonyo- Uganda ambao utafuatiwa na Mkutano
Kazi kesho wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kushoto ya
Mhe. Waziri wa Nishati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Adolf Mkenda.
Kushoto katika picha ni Mhandisi
Joseph Nyamhanga Katibu Mkuu Ujenzi, pembeni yake Prof. Joseph
Buchweishaija Naibu Katibu Mkuu Prof. Joseph Buchweishaija, Bi. Amina
Kh. Shabaan Naibu Katibu Mkuu, Fedha na Mipango na kulia katika picha ni
Mhandisi Shomar O. Shomari Naibu Katibu Mkuu, Ujenzi, Mawasiliano na
Uchukuzi Zanzibar ni washiriki katika wa Mkutano wa Majadiliano wa
Miundombinu ya Uchukuzi, Fedha na Afya unaoendelea kufanyika katika
ukumbi wa mikutano wa Speke Resort Munyonyo-Uganda
Picha na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
No comments :
Post a Comment