Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akiteta na Mbunge wa Serengeti, Cha Marwa katika mkutano wa hadhara
alipuhutubia kwenye uwanja wa Mbuzi katika mji mdogo wa Mugumu wialyani
Serengeti Januari 18, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akisalimiana na wazee baada ya kuwakabidhi vitambulisho vya kuwawezesha
kupatiwa matibabu bure hospitall yoyote wilayani Serengeti. Makabidhiano
Hayo yalifanyika kwenye viwanja vya hospitali ya wilaya Serengeti
Januari 18, 2018
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akiwapungia wananchi wakati alipowasili kwenye uwanja wa Mbuzi katika
mji mdogo wa Mugumu kuhutubia mkutano wa hadhara Januari 18,
2018.Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Mara, Adam Malima.
Wananchi wa mji mdogo wa wilaya ya
Serengeti wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati
alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Mbuzi katika mji mdogo
wa Mugumu Januari 18, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akikagua chumba cha upasuaji wakati alipotembelea hospitali ya wilaya
ya Serengeti akiwa katika ziara ya mkoa wa Mara Januari 18, 2018
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akimkabidhi kadi ya matibabu ya bure kwa wazee, Johaness Chacha, moja wa
wazee 280waliopatiwa vitambulishbo hivyo vitakavyowawezesha kutibiwa
bure popote wilayani Serengeti katika makabidhiano yaliyofanyika kwenye
viwanja vya hospitali ya wilaya ya Mugumu Januari 18, 2018. Kulia ni
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akimshukuru Mhandisi, Andrea Nyantori ambaye alichanga shilingi milioni
10 katika harambee ya papo kwa papo ya kuchangia ujenzi wa hospitali
ya wilaya ya Serengeti katika mji mdogo wa Mugumu, Januari 18, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akipokea mchango wa shilingi milioni 10 kutoka kwa Mhandisi Andrea
Nyantori kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Serengeti Januari
18, 2018
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na Askari Magereza wa gereza la Tabora Moja wilayani
Serengeti wakati alipotembela gereza hilo kukagua mradi wa ufugaji
ng’ombe wa nyama na maziwa Januari 18, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akisalimiana na wenza wa askari magereza wa gereza la Tabora Moja baada
ya kukagua mradi wa ufugaji ng’ombe wa nyama na maziwa katika gereza
hilo na kuzungumza na askari Januari 18, 2018.
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
No comments :
Post a Comment