Thursday, January 25, 2018

Rais wa Zanzibar Dk. Shein Atembelea Kiwanda Cha Samaki Sharjah East Fishing Prosessing


DSC_7531
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed, akiendelea na ziara yake katika Nchini za Umoja wa Falme za Nchi Kiarabu UAE, akitembelea Kiwanda cha Samaki Sharjah East Fishing Prosessing, kujionea utaalamu wa kuhifadhi samaki na kusafirishwa nje
DSC_7547
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni hiyo K.V.Thomas  jinsi ya kuhifadhi samaki na ufanyaji wa peki kwa ajili ya kusafirisha.
DSC_7596
WAFANYAKAZI wa Kiwanda cha Samaki cha Sharjah  East Fishing  Processing  wakiwa katika zoezi la kutayarisha  kamba kwa ajili ya kupekewa na kusafirishwa nje
DSC_7610
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akipata maelezo ya utayarishaji wa Kambo hadi kupekiwa kwa ajili ya kusafirishwa nje ya Nchi na katika Soko la ndani akiwa katika ziara yake katika Nchi za Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu UAE

No comments :

Post a Comment