Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipata maelezo toka viongozi
wa Mamlaka ya Bandari, Jeshi la Polisi na TRA kuhusiana na magari ya
wagonjwa 53 yaliyofichwa katika kona moja ya Bandari ya Dar es salaam
huku wamiliki wake wakiwa hawajulikani alipofanya ziara ya kushtukiza
leo Jumapili Novemba 26, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipata maelezo toka viongozi
wa Mamlaka ya Bandari, Jeshi la Polisi na TRA kuhusiana na magari ya
wagonjwa 53 yaliyofichwa katika kona moja ya Bandari ya Dar es salaam
huku wamiliki wake wakiwa hawajulikani alipofanya ziara ya kushtukiza
leo Jumapili Novemba 26, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akikagua sehemu ya magari zaidi
ya 6000 yaliyopo bandari ya Dar es salaam mengine yakiwa hapo kwa miaka
zaidi ya kumi bila kuchukuliwa na wenye nayo alipofanya ziara ya
kushtukiza leo Jumapili Novemba 26, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akikagua sehemu ya magari zaidi
ya 6000 yaliyopo bandari ya Dar es salaam mengine yakiwa hapo kwa miaka
zaidi ya kumi bila kuchukuliwa na wenye nayo alipofanya ziara ya
kushtukiza leo Jumapili Novemba 26, 2017
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akitoa
maelekezo kuhusu magari zaidi ya 50 ya Jeshi la Polisi yaliyopo
bandarini toka mwaka 2015 kwa sababu ya kutolipiwa ushuru alipofanya
ziara ya kushtukiza leo Jumapili Novemba 26, 2017
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akitoa
maelekezo kuhusu magari zaidi ya 50 ya Jeshi la Polisi yaliyopo
bandarini toka mwaka 2015 kwa sababu ya kutolipiwa ushuru alipofanya
ziara ya kushtukiza leo Jumapili Novemba 26, 2017
PICHA NA IKULU
No comments :
Post a Comment