Tuesday, November 21, 2017

COMRADE RG MUGABE ANG'OKA


RAIS wa Zimbabwe Robert Mugabe amejiuzulu alasiri Novemba 21, 2017.
Kwa mujibu w avyombo vya habari vya kimataifa, Comrade RG Mugabe, amemuandikia barua ya kujiuzulu spika wa bunge la nchi hiyo, Bw. Jacob Mudenda.

 Mugabe (katikati),m akiwa na aliyekuwa makamu wake, Emmerson Mnangagwa, (Kushoto), na mkewe Grace Mugabe.
 Mkuu wa Majeshi ya nchi hiyo, Jenerali Constantino Chiwenga
 Mugabe akimbusu mkewe Grace
 Hayati Baba wa Taifa, akifurahia jambo na macomrade wenzake, akiwemo RG Mugabe, (Kushoto)
 Mugabe akiwa na hayati Nelson Mandela.
 Mugabe akiwa na Rais wa sasa wa Afrika Kusini, Jacob Zuma.
Mugabe akisalimiana na Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete, alipohudhuria sherehe za kuapishwa kwa Dkt. Kikwete uwanja wa Uhuru Novemba 6, 2010.
Comrade RG Mugabe, akiwa kwenye mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Zimbabwe na hii ndiyo ilikuwa hafla yake ya mwisho akishiriki kama Rais wa nchi hiyo.

No comments :

Post a Comment