Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Susan Kolimba akisisitiza jambo kwa
waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akielezea maadhimisho ya 72
ya Umoja wa Mataifa ambayo yanatarajiwa kufanyika tarehe 24 Oktoba
katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, kulia ni Mratibu Mkazi
wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bw. Alvaro Rodriguez.
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa
na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bw. Alvaro Rodriguez akifafanua jambo kwa
waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akielezea maadhimisho ya 72
ya Umoja wa Mataifa ambayo yanatarajiwa kufanyika tarehe 24 Oktoba
katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, katikati ni Naibu
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Susan
Kolimba na kushoto ni Mkurugenzi wa Masuala ya Kimataifa toka Wizara ya
Mambo ya Nje Balozi Selestine Mushi.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Susan Kolimba (katikati) akifafanua
jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akielezea
maadhimisho ya 72 ya Umoja wa Mataifa ambayo yanatarajiwa kufanyika
tarehe 24 Oktoba katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, kulia
ni Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bw.
Alvaro Rodriguez na kushoto ni Mkurugenzi wa Masuala ya Kimataifa toka
Wizara ya Mambo ya Nje Balozi Selestine Mushi.
Picha na Eliphace Marwa – Maelezo
No comments :
Post a Comment