Mkaguzi wa kikosi cha Usalama Barabarani wilayani Moshi Mshangama Nyangasa, akitoa elimu katika shule ya msingi Majengo iliyopo mkoani Kilimanjaro katika maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama Barabarani. |
Askari
wa kikosi cha Usalama Barabarani CPL Juma Selemani, akitoa elimu katika
Shule ya Msingi Custom iliyopo wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro katika
maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama Barabarani.
Askari
wa kikosi cha Usalama Barabarani PC Ndugunamiti, akiwa na Juma Abdallah
mwanafunzi wa Shule ya msingi Majengo wilayani Same Mkoani Kilimanjaro
alipokuwa akichangia mada iliyokuwa ikitolea shuleni hapo katika
maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama Barabarani
No comments :
Post a Comment