
Mwenyekiti
wa Bodi ya Mfuko wa Barabara nchini (RFB), Bw. Joseph Haule, akisisitiza jambo
wakati akitoa taarifa ya ukaguzi wa kiufundi na fedha kwa fedha zilizopelekwa
na mfuko huo katika halmashauri mbalimbali nchini kwaajili ya ujenzi wa
barabara kwa waandishi wa habari (hawapo pichani), mjini Dodoma.
Sehemu
ya Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Barabara nchini (RFB), wakimsikiliza Mwenyekiti
wa Bodi ya Mfuko wa Barabara nchini (RFB), Bw. Joseph Haule hayupo pichani),
wakati akitoa taarifa ya ukaguzi wa kiufundi na fedha kwa fedha zilizopelekwa
na mfuko huo katika halmashauri mbalimbali nchini kwa mwaka wa fedha 2015/16, mjini
Dodoma leo.
Meneja
wa Mfuko wa Barabara nchini (RFB), Bw, Eliud Nyauhenga akisisitiza jambo mara
baada taarifa ya ukaguzi wa kiufundi na fedha kwa fedha zilizopelekwa na mfuko
huo katika halmashauri mbalimbali nchini kwa mwaka wa fedha 2015/16 kuwasilisha
na Mwenyekiti wa Bodi ya mfuko huo Bw. Joseph Haule , mjini Dodoma leo.
Imetolewa
na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano


No comments :
Post a Comment