Friday, September 29, 2017

MFUKO WA BARABARA WATOA SIKU 30 KWA WALIOKIUKA MATUMIZI YA FEDHA ZAKE


Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara nchini (RFB), Bw. Joseph Haule, akisisitiza jambo wakati akitoa taarifa ya ukaguzi wa kiufundi na fedha kwa fedha zilizopelekwa na mfuko huo katika halmashauri mbalimbali nchini kwaajili ya ujenzi wa barabara kwa waandishi wa habari (hawapo pichani), mjini Dodoma.


Sehemu ya Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Barabara nchini (RFB), wakimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara nchini (RFB), Bw. Joseph Haule hayupo pichani), wakati akitoa taarifa ya ukaguzi wa kiufundi na fedha kwa fedha zilizopelekwa na mfuko huo katika halmashauri mbalimbali nchini kwa mwaka wa fedha 2015/16, mjini Dodoma leo.



Meneja wa Mfuko wa Barabara nchini (RFB), Bw, Eliud Nyauhenga akisisitiza jambo mara baada taarifa ya ukaguzi wa kiufundi na fedha kwa fedha zilizopelekwa na mfuko huo katika halmashauri mbalimbali nchini kwa mwaka wa fedha 2015/16 kuwasilisha na Mwenyekiti wa Bodi ya mfuko huo Bw. Joseph Haule , mjini Dodoma leo.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

No comments :

Post a Comment