Saturday, September 30, 2017

KATIBU MKUU MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO BIBI SIHABA NKINGA AFUNGUA KONGAMANO LA WAZEE MJINI DODOMA



Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinisa, Wazee na Watoto Bibi Sihaba Nkinga akizungumza na wazee kwenye Ukumbi wa Shule ya  Sekondari Dodoma wakati akifungua Kongamano la Wazee kuelekea Kilele cha Siku ya Wazee Duniani Oktoba Mosi 2017.


Kaimu Kamishna wa Ustawi wa Jamii Bw. Rabikira Mushi akifafanua jambo kwa wazee walioshiriki Kongamano lililofanyika kwenye Ukumbi wa Shule ya  Sekondari Dodoma. 


Mwenyekiti wa Mtandao wa Wazee Tanzania Mzee Sebastian Bulegi akitoa salamu za wazee kwa Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii, Jinisa, Wazee na Watoto Bibi Sihaba Nkinga (hayupo Pichani) wakati wa uzinduzi wa Kongamano la Wazee kuelekea  Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani lililofanyika Ukumbi wa Shule ya  Sekondari Dodoma .


Mtaalamu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Idara ya Huduma za Jamii Dkt. Daudi Kaale akijibu hoja mbalimbali za wazee kwenye Kongamano la Wazee kuelekea  Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani lililofanyika Ukumbi wa Shule ya  Sekondari Dodoma.


 Baadhi ya Wazee kutoka mikoa ya Tanzania Bara wakifuatilia mada mbalimbali katika Kongamano la Wazee kuelekea  Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani liliofanyika Ukumbi wa Shule ya  Sekondari Dodoma.




No comments :

Post a Comment