
Mkurugenzi wa Namaingo, Biubwa Ibrahim
Mratibu wa Mradi wa Green Voices kutoka Hispania, Alicia Cedaba, akiwapa majukumu washiriki wa warsha hiyo.
MKURUGENZI
Mtendaji wa kampuni ya Namaingo Business Agency, Biubwa Ibrahim, amewataka
akinamama wanatekeleza mradi wa Green Voices Tanzania kuwa wabunifu na kutokata
tamaa katika shughuli wanazozifanya.

No comments :
Post a Comment