Monday, June 19, 2017

WIZARA YA MAMBO YA NDANI WAKUTANA KUJADILI MPANGO KAZI NA MPANGO WA UNUNUZI WA BAJETI YA 2017/2018


gcu1
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Mipango na Bajeti wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Amani Mashaka(katikati), akitoa maelekezo   kwa watumishi   ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, wakati wa kikao cha Mpango Kazi na Mpango wa Ununuzi wa bajeti ya wizara hiyo.Kikao hicho kimefanyika leo  katika ukumbi wa Bwalo la Jeshi la Magereza,Ukonga,jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
gcu2
Mtumishi wa  Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Fatuma Mohamed (aliyevaa miwani),  akiomba ufafanuzi kutoka kwaKaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Mipango na Bajeti wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Amani Mashaka(aliyesimama kulia) wakati wa Kikao cha Mpango Kazi na Mpango wa Ununuzi wa bajeti ya wizara.Kikao kimefanyika leo katika Ukumbi wa  Bwalo la Jeshi la Magereza,Ukonga,jijini Dar es Salaam.
gcu3
Mratibu Mwandamizi wa Uhamiaji,Colla Kayumba, akizungumza na watumishi wengine wa idara hiyo,Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji,Said Kassim(katikati) na Mkaguzi Msaidizi Sanga Hussein, wakati wa Kikao cha Mpango Kazi na Mpango wa Ununuzi wa bajeti ya wizara.Kikao hicho  kimefanyika katika Ukumbi wa Bwalo  la Jeshi la Magereza,Ukonga,jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment