Wednesday, May 10, 2017

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA UJUMBE WA WABUNGE WA EU, MJINI DODOMA




Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akizungumza  wabunge wa Bunge la Umoja wa Ulaya, katika Kikao kilichofanyika leo Mei 10, 2017 katika Ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.




Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mbunge wa Bunge la Umoja wa Ulaya Mhe. Alojz Peterle (kulia) pale ugeni wa Wabunge kutoka Bunge la Umoja wa Ulaya ulipomtembelea leo katika Ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.


Wageni wa Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai ambao ni Wabunge wa Bunge la Umoja wa Ulaya wakifwatilia Vikao vya Bunge vinavyoendelea leo Mjini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (wanne kulia) akipiga picha ya pamoja na Wabunge wa Bunge la Umoja wa Ulaya wakiongozwa na Mhe. David Martin (wanne kushoto) baada ya kumalizika kikao kilichofanyika  leo katika Ukumbi wa Spika Mjini Dodoma

No comments :

Post a Comment