Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
akiongoza mazoezi ya viungo kwa Mawaziri Wabunge pamoja nawananchi
waliuhudhiria katika kushiriki mazoezi hayo ambayo yamefanyika katika
Uwanja wa Jamuhuri Dodoma yakiwa nalengo la kupambana na maradhi yasiyo
ambukizika Mazoezi hayo yamefanyika kitaifa Mkoani Dodoma( Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
akiwahutubia Mawaziri Wabunge Watumishi na Wananchi wa Mkoa wa Dodoma
ambao wajitokeza katika kushiriki Mazoezi ya Viungo yenyelengo la
Kupambana na Magonjwa yasiyo ambukizika Mazoezi hayo Kitaifa yamefanyika
katika Uwanja wa Jamuhuri Mkoani Dodoma
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments :
Post a Comment