Mwenyekiti
wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania ( TAWLA ), Athanasia Soka
akifungua mkutano wa wadau wa sekta ya afya ya uzazi leo jijini Dar es
Salaam kujadili maswala mbalimbali kuhusiana haki za Wanawake katika
vifo vinavyotokana na afya ya uzazi Wakina Mama na Watoto wanapo jifungua.
Mhadhiri
Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Afya na Tiba Hurbert Kairuki ( HKMU ), Dk.
Pensiens Mapunda akielezea vifo vinavyotokana na afya ya uzazi kwa
Wakina Mama na Watoto.uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Mshiriki
wa mkutano huo, Bi Kavinya Makau akielezea mada mbalimbali wakati wa
mkutano wa wadau wa sekta ya afya ya uzazi kwa Wakina Mama na Watoto
leo jijini Dar es Salaam.
Wakili
wa Serikali Mkuu kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Charles Mmbando
akielezea sheria ya haki za Wanawake katika afya ya uzazi kwa Wakina
Mama na Watoto leo jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa washiriki wa mkutano huo akichangia mada yake.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Chama Cha wanasheria wanawake ( TAWLA ), Bi Tike Mwambipile
akifafanua jambo wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya afya ya uzazi
leo jijini Dar es Salaam wa kujadili maswala mbalimbali kuhusiana haki
za Wanawake katika afya ya uzazi kwa Wakina Mama na Watoto leo jijini
Dar es Salaam.
Washiriki wa mkutano wakifuatilia mada mbalimbali wa kati wa mkutano huo.
Wa
kwanza kushoto, Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (
TAWLA ), Athanasia Soka ( kulia kwake) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Chama
Cha wanasheria wanawake TAWLA Bi Tike Mwambipile wakiwa katika mkutano
huo.
Wakili
wa Serikali Mkuu kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Charles Mmbando
(kushoto) akishauriana jambo na Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha
Afya na Tiba Hurbert Kairuki ( HKMU ), Dk. Pensiens Mapunda wakati wa
mkutano huo leo.
Mwenyekiti
wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania ( TAWLA ), Athanasia Soka
(wanne katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa afya.
PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON-FULLSHANGWEBLOG
No comments :
Post a Comment