Mwenyekiti wa Bodi NHIF na Spika
mstaafu wa Bunge mama Anna Makinda akisisitiza juu ya kuboreshwa huduma
katika mfuko wa Bima ya afya wa Taifa.
Mkuu wa Mkoa wa Geita,Meja jenerali
Mstaafu Ezekiel Kyunga akiwa na mwenyekiti wa Bodi ya NIHF wakisikiliza
kwa makini taarifa ya Mkoa wa Geita juu ya mfuko wa bima ya afya .
Mbunge wa Geita Mjini Constatine Kanyasu na Mbunge wa Jimbo la Busanda Lorencia Bukwimba wakifuatilia mkutano .
Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga akifungua mkutano wa wadau wa Mfuko wa Bima wa Taifa Mkoani Humo.
Mbunge wa Geita Mjini Constatine
Kanyasu,akielezea namna ambavyo kumekuwepo na changamoto za huduma ya
afya katika jimbo ambalo analiongoza.
Mbunge wa Bukombe Dotto Biteko akichangia swala la huduma ambazo zinatolewa na mfuko wa Bima ya afya wa NHIF.
Baadhi ya wajumbe wakiwa kwenye mkutano huo wakisikiliza taarifa ya utekelezaji wa shughuli za NHIF.
Kaimu Mkurugenzi wa NHIF Angela Mziray akifafanua namna ambavyo NHIF imekuwa ikisaidia wa gonjwa wenye magonjwa yasiyoambukiza.
Meneja wa NHIF Mkoani Geita Mathias
Sweya akielezea namna ambavyo shughuli za kuandikisha wanachama wapya
jinsi zikifanyika Mkoani Geita .
Wajumbe wakiendelea kufatilia mkutano.
Mwenyekiti wa Bodi NHIF na Spika mstaafu wa Bunge mama Anna Makinda,akiwashkuru wajumbe ambao wamehudhuria Mkutano huo.
Picha ya pamoja mwenyekiti wa Bodi ya NHIF pamoja na wajumbe ambao wameshiriki mkutano huo.
No comments :
Post a Comment