Tuesday, February 21, 2017

MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM YAZUIA MBOWE ASIKAMATWE


1 2 3
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akizungumza na waandishi wa habari nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. baada Mahakama hiyo kutoa amri kuzuia Polisi wasimkamate Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe hadi maombi yake ya kupinga asikamatwe, yatakaposikilizwa Alhamisi wiki hii.
PICHA NA PHILEMON SOLOMON-FULLSHANGWEBLOG

No comments :

Post a Comment