Tuesday, January 31, 2017

BAABKUBWA MAGAZINE KUTUA MTAANI HIVI KARIBUNI


KUH
Baada ya ukimya wa muda Jarida namba moja kwa stori za burudani Tanzania “Baabkubwa Magazine” linakuarifu wewe mdau wetu, tumeanza kazi kwa msimu mpya na soon as possible toleo jipya linatuwa mtaani kwako likiwa na muonekano tofauti na wakuvutia kwa kusoma kila pages utakayotupia macho. NikoHub and Baabkubwa is under Candy and Candy Co LTD.

NikoHub ni application ambayo imeziunganisha Migahawa, Movie stores, Maduka ya wines and spirit, Bars na Clubs zote za Tanzania, inafanya kazi kwa kupatanisha muuzaji na mnunuzi moja kwa moja na unaweza kupokea orders au kufanya delivery au vyote kwa pamoja mahali popote na karibu mtu anapokuwa. mnunuzi anapata nafasi ya kuona kitu anachohitaji kwa urahisi, unaweza ku-compare prices na mnunuzi anapata nafasi ya kuona kile competitors wake wanafanya hivyo kuweza kujirekebisha, na pia inampa nafasi ya kujulikina zaidi worldwide na kupata wateja wengi.
Nikohub and Baabkubwa inaachiwa kwenye soko la Tanzania na imekuandalia special offer (Cake and Moet) ya Valentines ambayo itahusika na kila mtu, na couples 500 watakua featured kwenye Baabkubwa Magazine and TV show, ujumbe huu umepokelewa vyema na so far more than 17,000 people wamesha download nikohub app wakingojea kwa hamu hii special offer. Ofisi za Baabkubwa Magazine and NikoHub zipo Masaki opposite na Cape Town Fish Market, unaweza kutembelea page zetu za mitandao ya kijamii kama vile;
Instagram- @Baabkubwamagazine/ @nikohubtz
Facebook- Baabkubwa Magazine/ Nikohub Tanzania
Twitter- Baabkubwa Magazine
Website- Baabkubwa.com

No comments :

Post a Comment