Wafanyakazi
wanawake wa kampuni ya TBL Group kupitia jukwaa lao la TBL Women’s
Forum wamefanya hafla ya kuaga mwaka kwa mtindo wa aina yake ambapo
wametumia fursa hiyo kuelimishana masuala mbalimbali kwenye mazingira
yanayowazunguka ikiwemo kubadilishana uzoefu wa kazi na Maisha.
Pia
walipata fursa ya kuwasikiliza watoa mada mbalimbali kutoka nje ya
kampuni ambao walikaribishwa ambao waliongelea masuala ya afya,utunzaji
wa nywele,ikimwemo umuhimu wa bima.
Meneja Masoko Msaidizi wa Jubilee Insurance Elieth Kileo, akitoa elimu ya bima wakati wa hafla hiyo iliyofanyika Ilala jijini Dar es Salaam
Mmoja wa wafanyakazi wa TBL Group akipokea kipaza sauti kwa ajili ya kupata ufafanuzi wa masuala yaliyoongelewa na mmoja wa watoa mada.
Mtaalamu wa masuala ya urembo kutoka Abeer Naturals,Abigail Ambweni akitoa mada ya utunzaji wa nywele
Mtaalamu wa masuala ya urembo kutoka Abeer Naturals,Abigail Ambweni,akionyesha jinsi ya kutengeneza nywele ili kuonekana maridadi.
Wafanyakazi wakimsikiliza mtoa mada,Sadaka Gandi,kutoka Lifestyle Consultant
Wafanyakazi wakifurahia matukio mbalimbali kwenye sherehe hiyo
No comments :
Post a Comment