Tuesday, December 6, 2016

SPIKA NDUGAI AFUNGA MKUTANO WA KAMATI TENDAJI YA CPA AFRIKA


dugai
 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Ndugai akitoa hotuba ya kufunga mkutano wa Kamati Tendaji ya Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola-Kanda ya Afrika jijini Dar es Salaam.
dugai-1
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Ndugai akizungumza na baadhi ya Wajumbe wa  wa Kamati Tendaji ya Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola-Kanda ya Afrika(CPA-AFRICA) jijini Dar es Salaam.Wakwanza kushoto ni Dkt. Acho Ihim Rais CPA-Afrika, Mhe Elijah Okupa Kaimu Mwekahazina wa CPA-Afrika na Mhe. Lindiwe Maseko Mwenyekiti wa kamati hiyo. Kamati hiyo ilikutana Jijini Dar es Salaam kwa muda wa wiki moja kujadili masuala mbalimbali yanayohusina na Chama hicho.
dugai-2
  Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Ndugai (katikati waliokaa) katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamati Tendaji ya Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola-Kanda ya Afrika (waliokaa) pamoja na Sekretarieti ya Chama hicho.
dugai-3
  Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Ndugai akiagana na Rais CPA-Afrika Dkt. Acho Ihim mara baada ya kufunga mkutano wa Chama hicho Jijini Dar es Salaam.
Picha na Ofisi ya Bunge

No comments :

Post a Comment