Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) Theophil Makunga (kulia), akizungumza Dar es Salaam leo wakati akifungua mkutano wa siku mbili wa wahariri kupitia sheria ya huduma ya vyombo vya habari uliyopitishwa na Bunge pamoja na kujadili mpango mkakati wa TEF wa kuendeleza tasnia ya habari nchini. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa TEF, Deodatus Balile na Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Habari Tanzania (TMF), Ernest Sungura.
Mkuu
wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange
(Wa pili kushoto) pamoja na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni Jenerali, Salvatory Mabeyo
(Wa pili kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na ma Meja Jenerali wapya, mara baada ya kuvishwa vyeovyao vipya Makao
Makuu JWTZ Upanga Dar es Salaam.(PICHA
NA JWTZ)
Mkuu
wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Davis Mwamunyange (kushoto) akimvisha
cheo cha Meja Jenerali Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Brigedia Jenerali Michael
Isamuhyo, Makao Makuu JWTZ Upanga Dar es Salaam.
Mkuu
wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, (JWTZ), Jenerali
Davis Mwamunyange (Kushoto), akimvisha cheo cha Meja Jenerali, Mkuu wa Kamandi
ya Jeshi la Anga Brigedia Jenerali George William Ingram,Makao Makuu JWTZ
Upanga Dar es Salaam.




No comments :
Post a Comment