Thursday, December 8, 2016

Naibu Waziri wa Ardhi ANGELINA MABULA akagua Mpaka wa TANZANIA na ZAMBIA


mabula
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angelina Mabula akikagua eneo linalotenganisha mpaka
(buffer zone) kati ya Tanzania na Zambia katika eneo la Tunduma, Kulia kwa Waziri ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Songwe Bw.
Juma Said Irando.
 
Naibu Waziri waArdhi,
Nyumbana Maendeleo ya Makazi Dkt. Angelina Mabula akifuatilia ramani inayoonesha alama za mipaka ya kimataifa kati ya
Tanzania na Zambia wakati alipotembelea eneo la Tunduma mwishoni mwa juma, Kushoto ni alama moja wapo ya jiwe lililojengwa na Serikali ya
Tanzania baada ya makubaliano baina ya nchi mbili hizo.
 
Naibu Waziri waArdhi,
Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angelina Mabula akiifuatilia alama moja wapo ya jiwe la
mipaka ya kimataifa kati ya Tanzania na Zambia wakati alipotembelea eneo la Tunduma. 
 
Naibu Waziri waArdhi,
Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angelina Mabula akizungumza na wakazi wa eneo la
mpakani la Tunduma mara baada ya kusikiliza kero zao kuhusu huduma za sekta ya ardhi.

No comments :

Post a Comment