Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe.
Shaibu Ndemanga akizungumza wakati wa kikao cha kumkribisha Naibu Waziri
Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi
wakati wa ziara yake Mkoani hapo Desemba 15, 2016.
Mwenyekiti wa Chama cha Wasioona
Lindi Bw.Musa Bakari akizungumza changamoto zao kwa Naibu Waziri Ofisi
ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi wakati wa
ziara yake mkoani Lindi Desemba15, 2016
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu
(Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akisalimiana na baadhi ya
wazee wanaoishi katika kambi ya kulelea wazee ya Rasi Bula mkoani Lindi
wakati wa ziara yake kujionea hali halisi ya kituo hicho.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu
(Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akiwa katika ziara ya
kuangalia mazingira ya Shule ya kulelea watu wenye ulemavu ya Nyangao
mkoani Lindi kulia kwake ni Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Bw.Richard
Mponda.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu
(Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akizungumza na baadhi ya
walimu wa shule ya msingi ya Nyangao alipotembelea kuona hali halisi ya
mazingira ya wanafunzi wenye wahitaji maalum Desemba 15, 2016.
Mwalimu wa wasiona shule ya
nyangao Bw.Nassoro Kambona akielezea changamoto wanazokabiliana nazo
kazini kwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe.
Dkt. Abdallah Possi (hayupo pichani) wakati wa ziara yake shuleni hapo.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu
(Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akijibu hoja za wazee
wenye ukoma na mahitaji maalum katika kambi yao ya Nandanga wilayani
ruangwa mkoa wa Lindi alipofanya ziara yake Desemba 15, 2016
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu
(Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akitoa maagizo kwa baadhi
ya watendaji wa Serikali wakati ya ziara yake Wilayani Lindi
alipotembelea shule na Vituo vya kulelea watu wenye mahitaji maalum.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu
(Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akitoa maagizo kwa baadhi
ya watendaji wa Serikali wakati ya ziara yake Wilayani Lindi
alipotembelea shule na Vituo vya kulelea watu wenye mahitaji maalum.
(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
No comments :
Post a Comment