Sunday, December 18, 2016

KAMPUNI YA PENNYROYAL GIBRALTAR LIMITED YATILIANA SAINI MKATABA NA KAMPUNI YA MCC OVERSEAS, UJENZI WA MRADI WA HOTELI NA NYUMBA KATIKA KIJIJI CHA UTALII MATEMWE ZANZIBAR AMBER RESORT


Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar Limited "Zanzibar Amber Resort" Mr Brian Thomson na kulia Mwenyekiti wa Kampuni ya MCC Overseas Limited ya China Mr. Leo Zou, wakitiliana saini ya ujenzi wa Mradi huo wa Kijiji cha Utalii Matemwe Zanzibar Mkoa wa Kaskazini Unguja. akishuhudia utilianaji wa saini hiyo katikati Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Mr. Khamis Mussa.  
Mkurugenzi wa Mradi wa Ujenzi Kijiji cha Utalii Matemwe Zanzibar Pennyroyal Gibraltar Limited Zanzibar Amber Resort Mr. Saleh Mohammed Said akizungumza kabla ya kuaza kwa hafla hiyo ya utilianaji wa Saini ya Ujenzi wa Mradi huo na Kampuni ya MCC Overseas Ltd ya China, hafla hiyo ya utianaji wa saini hyo umefanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Park Hyyat Shangani Zanzibar.
Mkurugenzi wa Mradi wa Ujenzi Kijiji cha Utalii Matemwe Zanzibar Pennyroyal Gibraltar Limited Zanzibar Amber Resort Mr. Saleh Mohammed Said akizungumza kabla ya kuaza kwa hafla hiyo ya utilianaji wa Saini ya Ujenzi wa Mradi huo na Kampuni ya MCC Overseas Ltd ya China, hafla hiyo ya utianaji wa saini hyo umefanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Park Hyyat Shangani Zanzibar.kulia Mkurugenzi Mkuu wa Pennyroyal Gibraltar Limited Mr Brian Thomson akiwa na Mwenyekiti wa Kampuni ya MCC Overseas Limited ya China Mr Leo Zou.wakiwa katika ukumbi wa hafla hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar Limited "Zanzibar Amber Resort" Mr Brian Thomson na kulia Mwenyekiti wa Kampuni ya MCC Overseas Limited ya China Mr. Leo Zou, wakibalishano mikatabaa hiyo baada ya kusaini.ujenzi wa Mradi huo wa Kijiji cha Utalii Matemwe Zanzibar Mkoa wa Kaskazini Unguja. akishuhudia utilianaji wa saini hiyo katikati Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Mr. Khamis Mussa. 
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar Limited "Zanzibar Amber Resort" Mr Brian Thomson, akizungumza wakati wa hafla hiyo ya utilianaji wa saini iliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Park Hyyat Shangani Zanzibar na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali katika hafla hiyo.
Mwenyekiti wa Kampuni ya MCC Overseas Limited ya China Mr. Leo Zou, akizunguma baada ya hafla ya utilianaji wa saini ujenzi wa mradi wa Kijiji cha Utalii cha Matemwe Zanzibar  
Wageni waalikwa wakifuatila hafla hiyo ya utilianaji wa saini baina ya Pennyroyal Gibraltar Limited na MCC Overseas Limited ya China itakayojenga majengo ya Mradi huo huko Matemwe Zanzibar. Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Wawakilishi wa Kampuni ya MCC Overseas limited ya China wakifuatilia hafla hiyo.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Ndg Khamis Mussa akizungumza baada ya hafla hiyo utilianaji wa saini baina ya Kampuni ya Pennyroyal na MCC Overseas.  
Waalikwa wakiwa katika hafla hiyo.
Wageni waalikwa wakifuatilia hafla hiyo 
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Ndg Khamis Mussa akimsikiliza Mwenyekiti wa MCC Overseas Mr. Leon Zou, wakibadilishana mawazo baada ya hafla hiyo.
Muwekezaji wa Mradi wa Pennyroyal Zanzibar Mr Brian Thomson akizungumza na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Ndg Khamis Mussa, baada ya kumalizika kwa hafla ya utilianaji wa saini. 







Wafanyakazi wa Pennyroyal wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaslizika kwa hafla hiyo.
Mkurugenzi Mkuu Pennyroyal Mr Brian akibadilisha mawazo na wageni wakati wakati wa kupata viburudisho katika viwanja vya hoteli hiyo.
Wageni waalikwa wakiwa katika viwanja vya hoteli Park Hyyat wakipata vitafunio baada ya hafla hiyo.
Kikundi cha Taarab cha Dulla Ganuni kikitoa burudani wakati wa hafla hiyo. katika viwanja vya Park Hyyat Shangani Zanzibar 
Imeandaliwa na OthmanMapara.blog.
Zanzinews.com
othmanmaulid@gmai.com
0777 424152 0715424152


NA SALIM SAID, TANGA
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Deudence Kakoko, amewataka wafanyakazi wa mamlaka hiyo kufanya kazi kwa bidii ili kwenda kasi ya  Serikali ya awamu ya Tano.
Akifungua michezo ya Tano ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (INTERPORTS GAMES) viwanja vya shule ya Sekondari ya Popatlal Tanga jana, Kakoko, alisema kila mfanyakazi wa Mamlaka hiyo anapaswa kujua wajibu wake.
Alisema kasi hiyo iende sambamba na uboreshaji wa utoaji huduma bandarini na kuwa kivutio kwa wageni ili kuweza kuitumia kwa kushusha shehena zao bandari za Tanzania.
Michezo hiyo inashirikisha wafanyakazi wachezaji kutoka Tanga ambao ni wenyeji, Dar es Salaam,, Mtwara na Bandari za Ziwa.
Pichani juu, Kakoko akikagua wachezaji wa timu hizo kabla ya kuanza kwa mtanange huo. wakati picha za chini  zikionyesha timu hizo zikipita kujitambulisha mbele ya mashabiki



No comments :

Post a Comment