Friday, August 26, 2016

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS MAGUFULI TICAD VI KENYA

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AKUTANA NA BALOZI MDOGO WA CHINA

MAJALIWA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA JICA JIJINI NAIROBI

WATANZANIA TUPAZE SAUTI KUKATAA MAANDAMANO YA SEPTEMBA MOSI - CHEYO

che1
Mwenyekiti wa Chama cha United Democratic Party (UDP) John Momose Cheyo akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu hali ya kisiasa nchini katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari – Maelezo leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari – Maelezo Tiganya Vicent.
ch2
Mwenyekiti wa Chama cha United Democratic Party (UDP) John Momose Cheyo akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu hali ya kisiasa nchini katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari – Maelezo leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari – Maelezo Tiganya Vicent na Kaimu Katibu Mkuu wa Chama hicho Goodlucky Ole Medeye. 

No comments :

Post a Comment