Amiri
Jeshi Mkuu Rais Dkt.John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa
Idara ya Usalama wa Taifa Dkt Modestus Francis Kapilimba akila kiapo
cha maadili ya viongozi wa Umma Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti
24, 2016. Kushoto akisimamia zoezi hilo ni Kamishina wa Sekretarieti
ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu Salome Kaganda.
Amiri
Jeshi Mkuu Rais Dkt.John Pombe magufuli na Makamu wa Rais Mhe Samia
Suluhu Hassan pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na
Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe
George Masaju na Katibu Mkuu kiongozi Engineer John Kijazi katika picha
ya pamoja na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama baada ya
kuapishwa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Dkt Modestus
Francis Kapilimba Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 24, 2016
Amiri
Jeshi Mkuu Rais Dkt.John Pombe magufuli katika picha ya pamoja na
viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama baada ya kuapishwa kwa
Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Dkt Modestus Francis
Kapilimba Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 24, 2016
RAIS DKT MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI WA CANADA, THAILAND NA AUSTRIA LEO IKULU DAR ES SALAAM
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea
hati ya utambulisho toka kwa Balozi wa Canada Mhe Ian Myles Ikulu jijini
Dar es salaam leo agosti 24, 2016
No comments :
Post a Comment