
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na
Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda wakati walipokutana katika mkutano wa
hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu, kwenye kijiji cha Majimoto wilayani
Mlele Agosti 23, 2016. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary wakitazama ngoma ya asili ya Wapimbwe
wakati walipowasili kwenye uwanja wa kijiji cha Majimoto wilayani Mlele
kuhutubia mkutano wa hadhara Agosti 23, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary
wakitazama ngoma ya asili ya Wapimbwe wakati walipowasili kwenye uwanja wa
kijiji cha Majimoto wilayani Mlele kuhutubia mkutano wa hadhara Agosti 23, 2016. Katikati ni Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda.
Wananchi
wa kjiji cha Majimoto wilayani Mlele
wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipowahutubia huku
wengine wakionyesha mabango yanayoelezea hisia zao, Agosti 23,
2016
| Wanafunzi wa Shule ya Msingi Bwiru Mkoani Mwanza wakiwa wamekalia madawati 60 waliyopewa na kampuni ya Tigo,wakati wa hafla iliyofanyika jana. |
Kampuni ya Simu ya Tigo Tanzania leo imeanzisha rasmi mkakati wake wa nchi nzima wa kutoa huduma kwa jamii kwa kuchangia madawati 385 yenye thamani ya shilingi milioni 64 kwa shule tisa za msingi mkoani Mwanza ambayo yatazinufaisha shule za msingi katika wilaya za Ukerewe, Nyamagana, Ilemela na Sengerema wakati wa msimu wa tamasha la Fiesta 2016 mkoani Mwanza
Mganga Mku wa Mkoa wa Tanga (RMO)
Dkt Asha Mahita akisisitiza jambo wakati akizungumza na Mbunge wa Jimbo
la Tanga (CUF) ambaye alikwenda kuitembelea hospitali ya Mkoa wa Tanga
Bombo kuangalia changamoto zinazowakabili
Mbunge wa Jimbo la Tanga
(CUF) Mussa Mbaruku akisisitiza jambo kwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga
(RMO) Dkt Asha Mahita
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
Mussa Mbaruku katikati akiwa kwenye picha ya pamoja na madaktari kutoka
katika taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya The Sunshine Muslim
Volunteer huku wakishirikiana na madaktari bingwa kutoka nchi za
Uingereza,
Afrika kusini, Canada na Pakistani waliokuja kuweka kambi ya siku tano
kwa
ajili ya kutoa matibabu bure ya Fistula.
MBUNGE wa Jimbo la Tanga (CUF),
Mussa Mbaruku ameombwa kuangalia namna ya
kuweka mkakati wa kuvisaidia vituo vya afya na Zahanati zilivyopo ndani ya Jiji
la Tanga ili kupunguza msongamano wa wagonjwa katika Hospitali ya mkoa wa Tanga
Bombo inayohudumia wagonjwa wa mkoa mzima.
Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha





No comments :
Post a Comment