Thursday, August 25, 2016

DR Congo yaonesha nia Bomba la Mafuta, Afrika Mashariki

BOM01
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akisisitiza jambo katika kikao hicho
BOM1
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) akiongoza kikao kilichoshirikisha Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya  Demokrasia ya  Kongo, Aime Ngoi-Mukena Lusa- Diese  na ujumbe wake, pamoja na  wataalam  kutoka Wizara ya Nishati na Madini.
BOM2
Kutoka kushoto, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Madini Prof. James Mdoe, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati Dk. Juliana Pallangyo na Kamishna Msaidizi wa Umeme, Mhandisi Innocent Luoga wakifuatilia mada iliyokuwa inawasilishwa na Mkurugenzi kutoka Kampuni ya Oil of DR Kongo kutoka Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo, Giuseppe Ciccarelli (hayupo pichani) katika kikao hicho.
BOM3
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (kulia) akielezea fursa za uwekezaji kwenye sekta ya  mafuta na gesi mbele ya waandishi wa habari. Kushoto ni Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Demokrasia ya  Kongo, Aime Ngoi-Mukena Lusa- Diese.
BOM4
Mkurugenzi kutoka Kampuni ya Oil of DR Kongo kutoka Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo, Giuseppe Ciccarelli akisisitiza jambo katika kikao hicho.
BOM5
Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Demokrasia ya  Kongo, Aime Ngoi-Mukena Lusa- Diese  na ujumbe wake wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa katika kikao hicho.
BOM6
Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Demokrasia ya  Kongo, Aime Ngoi-Mukena Lusa- Diese (kushoto) akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili kwenye Ofisi za Wizara ya Nishati na Madini. Kulia ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.
BOM7
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia) akisalimiana na Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Demokrasia ya  Kongo, Aime Ngoi-Mukena Lusa- Diese (kushoto)

WATAALAMU WA TEHAMA WATAKIWA KUWA NA MAADILI.

nai1
Naibu Waziri  Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani  akiongea na wataalam wa Tehama wakati wa uzinduzi wa mkutano wa siku moja wa wataalamu hao uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
nai2
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Mawasiliano Prof. Faustine Kamuzora  akiongea na wataalam wa Tehama wakati wa uzinduzi wa mkutano wa siku moja wa wataalamu hao uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
nai3
Naibu Waziri  Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani  akiongea na wanahabari  hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa mkutano wa siku moja wa wataalamu hao uliofanyika jijini Dar es Salaam leo. (Picha zote na Benjamin Sawe)
nai5
Baadhi ya wajumbe wa mkutano huo wakifuatilia kikao hicho.

WAJUMBE WA BODI STAMICO WATEMBELEA MGODI WA TANZANITEONE

????????????????????????????????????
Wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa shirika la madini nchini (STAMICO) wakiwa na baadhi ya watumishi wa kampuni ya TanzaniteOne na STAMICO walipotembelea mgodi wanaoumiliki kwa ubia na kampuni hiyo uliopo mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.
COL2
Wajumbe wa bodi ya shirika la madini nchini (STAMICO) wakiwa na Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi Balozi Alexiander Muganda, (mwenye nguo ya rangi ya buluu) baada ya kutembelea mgodi wanaoumiki kwa ubia na kampuni ya TanzaniteOne uliopo mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.


????????????????????????????????????
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la madini nchini (STAMICO) Zena Kongoi akizungumza na waandishi wa habari,  kwenye mgodi wanaoumiliki kwa ubia na kampuni ya TanzaniteOne.

COL4
Wajumbe bodi ya STAMICO wakipanda scip kwa ajili ya kuingia kwenye mgodi wa madini ya Tanzanite uitwao CT.

STATE GRID YA CHINA YAONESHA NIA KUWEKEZA MRADI WA UMEME WA MCHUCHUMA- MAKAMBAKO

gr1
Waziri wa Nishati na Madini (katikati) Profesa Sospeter Muhongo akiwaeleza jambo Balozi wa China nchini, Dkt. Lu Youqing (wa kwanza kushoto) na ujumbe wake waliofika Ofisini kwa Waziri ili kufahamu namna kampuni hiyo inavyoweza kufanya kazi katika sekta ya Nishati nchini.
gr2
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (katikati) akieleza jambo wakati wa kikao baina yake na  Balozi wa China nchini, Dkt. Lu Youqing (wa kwanza kushoto) na ujumbe wake waliofika Ofisini kwa Waziri ili kufahamu namna kampuni  ya State Grid ya China inavyoweza kufanya kazi katika sekta ya Nishati nchini.
gr3
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati) akimsikiliza Mwakilishi wa Kampuni ya State Grid ya China upande wa Afrika, Mingu Liu, (wa kwanza kulia mbele) wakati akimweleza Waziri Muhongo azma ya Kampuni hiyo kuwekeza katika Mradi wa Ujenzi wa Njia ya Umeme ya Msongo wa kV 400 Mchuchuma hadi Makambako. Wengine wanaofuatilia ni Balozi wa China nchini Dkt.  Lu Youqing na ujumbe wake.
gr4
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (katikati) akiangalia Makabrasha kutoka Kampuni ya State Grid ya China ambayo imeonesha nia ya kuwekeza katika mradi wa ujenzi wa njia ya umeme ya Msongo wa kV 400 ya Mchuchuma hadi Makambako.
gr5
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo  (katikakti) na Balozi wa China nchini Dkt. Lu Youging (wa pili kushoto) na ujumbe wake wakifurahia jambo mara baada ya kumalizika kwa kikao baina ya Waziri, Balozi na kampuni ya State Grid.

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia avitaka Menejimenti ya Vyuo vya Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kupitia upya mitaala na vifaa

ndl1
Mwalimu wa Ufundi Ricky akionyesha baadhi ya mashine zinazotumika kufundishia wanafuinzi wanaojiunga na chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA     Kipawa
ndl2
Picha ya pamoja kayi ya Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof  Joyce Ndalichako akiwa na watendaji wa Chuo cha VETA Kipawa pamoja na baadhi ya wanafunzi chuoni hapo
ndl3
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof  Joyce Ndalichako akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)juu ya mikakati ya Serikali kuelekea Uchumi wa Viwanda ambapo chuo cha VETA Kipawa inajikita zaidi kutoa mafunzo yanayohusu masuala ya viwanda
ndl4
Mmoja wa wanafunzi kutoka chuo kikuu cha Mlimani waliokwenda chuoni hapo kupata mafunzo kwa vitendo juu ya masuala ya TEHAMA Picha na Beatrice Lyimo-MAELEZO
………………………………………………………………………………………..

SERIKALI KUNUNUA RADA SITA ZA KISASA

REIA1
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akizungumza na Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Ally Karume mara baada ya kumtembelea ofisini kwake Kisiwani Unguja.
RIA2
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akifafanua jambo kwa wakati viongozi wa taasisi zilizo chini ya Wizara hiyo Kisiwani Unguja. Kulia ni Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Ally Karume.
RIA5
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akijadiliana jambo na Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Ally (kulia) Karume wakati alipotembelea taasisi zilizochini ya Wizara hiyo. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hiyo Mustafa Abood Jumbe.
RIA6
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mustapha Abood Jumbe afafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (katikati)   katika kikao kazi mjini Unguja.
………………………………………………………………………

No comments :

Post a Comment