Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozwa kuingia kwenye ukumbi wa Lancaster
House, London nchini Uingereza kuhudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi
kuhusu mapambano dhidi ya rushwa, May 12, 2016. Majaliwa alimwakilisha
Rais John Magufuli kwenye mkutano huo.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akishiriki katika
mazungumzo rasmi ya Wakuu wa Nchi katika Mkutano unaojadili mapambano
dhidi ya rushwa kwenye ukumbi wa Lancaster House, London, nchini
Uingereza May 12, 2016. Wa tatu kushoto ni Waziri Mkuu wa Uingereza,
David Cameron. Majaliwa alimwakilisha Rais John Magufuli katika mkutano
huo.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA RAJABU LUHWAVI AZUNGUMZA NA WATUMISHI WA CCM MKOA WA PWANI LEO
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM, Bara, Rajab Luhwavi akivishwa Skafu na Kijana wa
Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Omari Salum, alipowasili Ofisi ya CCM
mkoa wa Pwani, Wilayani Kibaha mkoani humo leo. Katikati ni Katibu wa
CCM mkoa wa Pwani Joyce Masunga na kulia ni Katibu wa UVCCM wilaya ya
Kibaha, David Malecela.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM Bara Rajab Luhwaavi, akiongozana na Katibu wa CCM
mkoa wa Pwani, Joyce Masunga, kwenda Ofisi ya CCM mkoa wa Pwani,
wilayani Kibaha leo
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhwai akisalimia baada ya viongoi baada ya
kuwasili Ofisi ya CCM mkoa wa Pwani, kuzungmza na wafanyakazi wa CCM
mkoa wa Pwani wilayani Kibaha leo
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhwai akisalimia baada ya viongoi baada ya
kuwasili Ofisi ya CCM mkoa wa Pwani, kuzungmza na wafanyakazi wa CCM
mkoa wa Pwani wilayani Kibaha leo
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM, Bara Rajab Luhwavi akisaibi kitabu cha wagei katika
Ofisi ya CCM mkoa wa Pwani, wilayani Kibaha leo. Kulia ni Katibu wa CCM
mkoa wa Pwani, Joyce Masunga.
ZANZIBAR YASHEREHEKEA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI
Brasbendi ya Chipkizi ikiongoza matembezi ya wauguzi yakipita katika maeneo
ya Kisonge kuelekea Studio za Rahaleo ambapo sherehe hizo ziliadhimishwa rasmi.
ya Kisonge kuelekea Studio za Rahaleo ambapo sherehe hizo ziliadhimishwa rasmi.
Waandamanaji wakiingia kwa furaha eneo la Studio za Rahaleo ambapo sherehe za
sikuya Waguzi Duniani ziliadhimishwa.
sikuya Waguzi Duniani ziliadhimishwa.
Waziri wa Afya Mhmoud Thabit Kombo aliemuwakilisha Mke wa Rais wa Zanzibar
akisoma hotuba katika maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani yaliyofanyika
Ukumbi wa Sanaa Rahale Mjini Zanzibar.
akisoma hotuba katika maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani yaliyofanyika
Ukumbi wa Sanaa Rahale Mjini Zanzibar.
Mrajis Baraza la Wauguzi na Wakunga Zanzibar Vuai Kombo Haji akiongoza kiapo
cha wauguzi katika maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani yaliyofanyika Ukumbi
wa Sanaa Rahaeo.
cha wauguzi katika maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani yaliyofanyika Ukumbi
wa Sanaa Rahaeo.
Mkurugenzi Tiba Katika Wizara ya Afya Dkt. Salhia Ali Muhsin akimkaribisha
mgeni rasmi Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo aliemwakilishi Mke wa Rais wa
Zanzibar Mama Mwanamwema Shein katika maadhimisho hayo.
mgeni rasmi Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo aliemwakilishi Mke wa Rais wa
Zanzibar Mama Mwanamwema Shein katika maadhimisho hayo.
Baadhi ya wauguzi walioshiriki maadhimisho hayo wakifuatilia hotuba zilizokuwa
zikitolewa katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo, Mjini Zanzibar.
zikitolewa katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo, Mjini Zanzibar.
Picha ya pamoja ya baadhi ya viongozi wa wauguzi na Mgeni rasmi, Waziri wa Afya Mhmoud Thabit Kombo.
Picha na Makame Mshenga Maelezo Zanzibar.
MAKALA YA MABASI YAENDAYO HARAKA.
Hussein Makame-MAELEZO
UIMARISHWAJI
wa miundombinu na uboreshaji wa sekta ya usafiri ni baadhi ya mihimili
inayopewa umuhimu nchini katika kuleta maendeleo ya wananchi na taifa
kwa ujumla hasa pale usafirishaji unapowezesha abiria na mizigo kufika
sehemu kwa wakati na kwa gharama nafuu.
WATANZANIA KUZIAMUA ETHIOPIA, GHANA
Mchezo huo utaochezwa Mei 22,
2016 majira ya saa 10.00 jioni kwa saa za Ethiopia, utaamualiwa na
Mfaume Ali Nassoro ayesimama katikati wakati walioteuliwa kuwa waamuzi
wa pembeni ni Josephat Deu Bulali (line 1) na Alli Kinduli na mezani
atakuwa Martin Eliphas Sanya. Kamishina wa mchezo huo kwa mujibu wa CAF
ni Julius Elly Mukolwe kutoka Kenya.
Muhimbili Kutoa Tiba Wagonjwa wa Homa Sugu ya Ini
Mtaalamu
kutoka Marekani, Dk Brian McMahon akizungumza na madaktari na wauguzi
wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kuhusu tiba ya homa sugu ya ini
inayosababishwa na virusi vya Hepatitis B.
Dk
Aaron Haris kutoka Marekani akielezea jinsi mradi huo
utakavyowanufaisha Watanzania ambao wameambukizwa virusi vya vya
Hepatitis B.
Dk
Edwin Masue wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) akiwasilisha mada
kuhusu dalili za homa sugu ya ini inayosababishwa na virusi vya
Hepatitis B.
Madaktari na wauguzi wakimsikiliza Dk McMahon wakati akielezea kuanza kwa mradi wa tiba ya homa ya ini kwa watu mbalimbali.
Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Tumbo, Dk John Rwegasha (kushoto)
akifuatilia mada iliyowasilishwa na Dk Edwin Masue na Dk Eva Uiso wa
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Wengine ni Dk McMahon na Dk Haris
kutoka Marekani.
Tume ya Kurekebisha Sheria yaendelea na Mapitio ya Sheria za Uwekezaji
Afisa
Sheria kutoka Tume ya Kurekebisha Sheria Bw. Hemed Lusungu akiongea na
waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maboresho ya sheria
mbalimbali yanayofanywa na tume hiyo. Kushoto ni Afisa Sheria wa Tume
hiyo Bw. Fredy Kandonga.
Afisa
Sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Bw. Fredy Kandonga akifafanua kwa
waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu tafiti za kisheria
zinazotarajiwa kufanyiwa kazi kwa kipindi cha Mwaka 2016/2017 ikiwemo
Mapitio ya Sheria za Uwekezaji. katikati ni Afisa Sheria kutoka Tume ya
Kurekebisha Sheria Bw. Hemed Lusungu na kulia ni Afisa Habari wa Tume
hiyo Bw. Munir Shemweta.
PICHA NA FATMA SALUM- MAELEZO
…………………………………………………………………………………………………
WAZIRI NAPE NNAUYE PAMOJA NA WAZIRI JANUARY MAKAMBA WAKUTANA NA WASANII BUNGENI DODOMA.
| Wasanii wa kizazi kipya, Nasib Abdul (Diamond Platinumz) (wa tatu kushoto) pamoja na Mafikizolo wakiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Mbunge Dodoma. |
(Picha zote na Benedict Liwenga, Dodoma)
Benki ya Kilimo yajipanga kusaidia utekelezaji wa Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa.
PICHA NA FATMA SALUM-MAELEZO
SERIKALI MKOANI MBEYA YAFUTA HATI YA KIWANJA CHA MAKAZI KILICHOTOLEWA NA HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amosi Makala (Picha Maktaba
……………………………………………………………………………………………..
Na EmanuelMadafa,Mbeya(Jamiimojablogu
SERIKALI Mkoani Mbeya imeagiza kufutwa kwa hati ya kiwanja
kilichotolewa na halmashauri ya Jiji la Mbeya kwenye chanzo kikuu cha maji
kilichopo eneo la Nyibuko kata ya Mwakibete kwa matumizi ya makazi.
kilichotolewa na halmashauri ya Jiji la Mbeya kwenye chanzo kikuu cha maji
kilichopo eneo la Nyibuko kata ya Mwakibete kwa matumizi ya makazi.
NHIF LINDI YAWAPA ELIMU YA TOTO AFYA KADI AKINA MAMA WA HALMASHAURI YA (W) LIWALE
Meneja
wa Bima ya Afya Mkoa wa Lindi akitoa elimu ya mpango mpya na wa gharama
nafuu utakaomuwezesha mzazi kumlipia bima ya Afya mtoto chini ya miaka
18 unaojulikana TOTO AFYA KADI,kwenye kliniki ya mama na mtoto (RCH)
Hospitali ya Wilaya ya Liwale mkoani Lindi.
Kaimu
mganga mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Liwale akitoa rai kwa akina mama
walioudhuria kliniki kwa kuchangamkia fursa kwani ni mpango wenye
manufaa zaidi na una uwigo wa mafao kwa 50,400 tu.
Akina mama wakifuatilia elimu ya kitita cha mafao yanayotolewa kwenye mpango wa Toto afya kadi kutoka kwa meneja wa NHIF Lindi hayupo pichan













No comments :
Post a Comment