WAZIRI
MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania ina mpango wa kujenga njia ya
umeme kutoka Mbeya hadi Zambia kupitia Tunduma ili kupunguza tatizo la
umeme linaloikabili nchi hiyo.
“Serikali ya Tanzania inajenga
njia ya umeme ya msongo wa KV 400 kutoka Iringa – Dodoma – Singida –
Shinyanga ambayo ni sehemu ya mradi mkubwa wa umeme unaolenga
kuunganisha Zambia, Tanzania na Kenya,” amesema.
Amesema upembuzi yakinifu kwa
ajili KV400 kutoka Iringa hadi Mbeya umekwishakamilika tangu mwaka 2012,
na hivi sasa Serikali inatafuta fedha kwa ajili kuunganisha kipande cha
kutoka Mbeya na gridi ya Taifa ya Zambia.
Waziri Mkuu ambaye anahudhuria
mkutano huo kwa niaba ya Mheshimiwa Rais, Dk. John Pombe Magufuli,
ametoa ufafanuzi huo leo mchana (Jumanne, Mei 24, 2016) wakati
akichangia hoja kwenye mjadala wa wakuu wa nchi na Serikali uliohusu
Nishati na Mabadiliko ya TabiaNchi kwenye ukumbi wa mikutano cha
kimataifa wa Mulungushi.
Amesema ili kukabiliana na
changamoto ya nishati barani Afrika, nchi za bara hili zinahitaji kuwa
na fedha ama mitaji, teknolojia ya kisasa na wataalamu wenye ujuzi wa
kutosha jambo ambalo amesema ni gumu kulikamilisha kila nchi peke yake.
Amesema ili kukaribisha
wawekezaji kwenye sekta ya umeme, Tanzania inafanyia marekebisho sheria
zake ili kuruhusu uwekezaji kwenye sekta hiyo.
NAPE AFUNGUA MASHINDANO YA KOMBE LA MKUU WA MAJESHI YA ULINZI ( CDF CUP – 2016) JIJINI DAR ES SALAAM
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihutubia wakati wa
kufungua mashindano ya tatu ya kombe la Mkuu wa Majeshi (CDF Cup – 2016) kwenye
uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
kufungua mashindano ya tatu ya kombe la Mkuu wa Majeshi (CDF Cup – 2016) kwenye
uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Mafunzo na Utendaji Kivita Meja Jenerali Issa Nassor akihutubia wanamichezo
wa kijeshi kwenye sherehe za ufunguzi wa mashindano ya tatu ya kombe la
Mkuu wa Majeshi (CDF Cup – 2016) kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Mwakilishiwa Mnadhimu Mkuu wa Majeshi Meja jenerali Simoni Mumwi akihutubia wakati wa
ufunguzi wa mashindano ya tatu ya kombe la Mkuu wa Majeshi (CDF Cup –
2016) kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiangalia picha yake aliopewa na kikundi cha sanaa wakati wa kufungua mashindano ya tatu ya kombe la Mkuu wa Majeshi (CDF Cup – 2016) kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akipiga penati ikiwa ishara ya kufungua mashindano ya tatu ya kombe la Mkuu wa Majeshi (CDF Cup – 2016) kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Ardhi Mhe. William Lukuvi na naibu waziri wake Mhe. Angelina Mabulla
wakifuatilia hoja za wabunge wa mapitio makadirio ya mapato na matumizi
ya wizara ya Aridh kwa mwaka wa fedha 2016/20
Waziri
wa Ardhi Mhe. William Lukuvi akijibu hoja bungeni wakati wa mapitio ya
makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya Aridh kwa mwaka wa fedha
2016/2017
Naibu
waziri wa Ardhi, Mhe. Angelina Mabulla akipongezwa na watendaji wa
Wizara nje ya ukumbi wa bunge baada ya makadirio ya mapato na matumizi
ya wizara kupitishwa na bunge kwa mwaka wa fedha 2016/2017.
Naibu
Waziri wa Ardhi Mhe. Angelina Mabulla akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara
hiyo Dkt. Yamungu Kayandabila Nje ya Ukumbi wa Bunge baada ya bajeti ya
Wizara hiyo kupitishwa kwa mwaka wa fedha 2016/2017
Mhe.
William Lukuvi Waziri wa Ardhi na Naibu Waziri Mhe. Angelina wakiwa na
baadhi ya watendaji wa Wizara Nje ya Ukumbi wa Bunge baada ya makadirio
ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kupitishwa na bunge kwa mwaka wa
fedha 2016/2017.
Kampuni ya TBL Group yaendesha zoezi la kutathmini wafanyakazi wake
Afisa Rasilimali watu katika kiwanda cha TBL mkoani Mwanza, Dorah
Nyambalya akifanya tathimini ya kazi kwa baadhi ya wafanyakazi wa
kiwanda hicho jana.
Baadhi ya wafanyakazi wa TBL kiwanda cha Mwanza wakiwa katika picha ya pamoja baada ya zoezi la tahmini kiwandani hapo leo
……………………………………………………………………………………………………….
Kampuni ya TBL Group kuanzia
leo imeanza kuendesha zoezi la kutathmini wafanyakazi wote katika
viwanda vyake vyote vilivyopo katika mikoa ya Dar es
Salaam,Mwanza,Mbeya,Arusha na Kilimanjaro.
Lengo kubwa la kuendesha zoezi
hilo limeelezwa kuwa ni kujua changamoto wanazokabiliana nazo
wafanyakazi katika majukumu yao ya kila siku ili kuzitafutia ufumbuzi
kwa lengo la kuleta ufanisi wenye tija katika kazi.
Katika kutekeleza zoezi hilo
wafanyakazi walijaza fomu maaalumu zenye maswali ya kiutendaji chini ya
usimamizi wa watendaji wa idara ya Raslimali watu ambao yalihusu
utendaji wao,changamoto wanazokutana nazo pia walipata fursa ya kutoa
maoni yao ni jinsi gani ya kuboresha mazingira ya kazi na kuwaendeleza
wao ili waweze kufanya kazi zao kwa ufanisi.
Mfumo wa usimamizi wa nyaraka kidijiti kuongeza kasi ya utendaji Serikalini.
Na Daudi Manongi.
Mfumo wa usimamizi wa nyaraka kidijiti utaongeza kasi serikalini na hivyo kuchochea maendeleo chanya katika kila nyanja.
Hayo yamesemwa leo na Katibu mkuu
Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Prof.Elisante Ole Gabriel
wakati wa mafunzo yanayotolewa na Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na
Mawasiliano kwa Menejimenti ya wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na
Michezo wakati walipotembelea mfumo wa usimamizi wa nyaraka wa kidijiti.
Alisema pia kuwa mfumo huu una
faida nyingi na ndio ambazo zimeifanya wizara hii kutaka kujifunza ni
pamoja na suala la gharama na kwa kuwa serikali ya awamu ya tano iko
katika jitihada kubwa za kupunguza matumizi na kwa kuwa bajeti ya
shajala ni kubwa katika taasisi nyingi za serikali hivyo mfumo huu wa
kidijiti utasaidia kupunguza garama kwani hapatakuwa na haja ya kutumia
karatasi na hivyo kupunguza gharama kubwa.
Prof Elisante pia aliongeza kuwa
mfumo huu utaongeza usiri wa nyaraka hizi na kwa sasa zitakuwa zinasomwa
na yule tu aliyekusudiwa na kutoa pongezi kwa ofisi ya rais manejimenti
ya umma kwa kuhamasisha matumizi ya mfumo huu kwani ukitumiwa vyema
utakuwa na manufaa sana.
Kwa upande wake Katibu mkuu
wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Faustin Kamuzora alisema
kuwa mfumo huo ulijengwa miaka mitatu iliyopita na unaweza kutumika
katika wizara yeyote kwani una ufanisi mkubwa sana kwani kwa sasa
utaweza kuangalia mafaili gani yameingia kwa mfumo wa kidijitali na
kwa namna hii itapunguza garama na muda kwani hatutakuwa tunatumia
karatasi tena.
Prof.Kamuzora alizitaka Taasisi
na Wizara mbalimbali kuwapa elimu ya kutosha watunza kumbukumbu kwani
wao ndio wahusika wakuu wa kwanza wa mfumo huu na hivyo kuwataka
wahusika kuwapa mafunzo ya kompyuta na kuboresha vifaa kama scanner
maofisini mwao.
Nae mmoja wa watunza kumbukumbu
kutoka wizara Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi.Felomena Swai alisema
amenufaika na mafunzo hayo na yatawasaidia katika utunzaji wa
kumbukumbu kwani sasa watapeleka barua kwa wakati na kurahisisha
utunzaji wa mafaili.
Serikali kuboresha mazingira ya biashara ili kuongeza uwekezaji
Katibu
Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Uratibu,Bunge,kazi,Ajira na watu wenye
ulemavu Dkt. Hamis Mwinyimvua(Kushoto) akizungumza wakati wa akifungua
mkutano wa wadau wa biashara nchini uliolenga kujadili namna ya
kuboresha mazingira ya biashara katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa
Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania Godfrey Simbeye na kulia ni Katibu
Mtendaji wa Baraza la Taifa la Biashara(TNBC) Raymond Mbilinyi.
Wadau
wa biashara kutoka sekta za umma na binafsi wakifatilia mkutano
uliofanyika leo uliolenga kujadili namna ya kuboresha mazingira ya
biashara nchini.
Katibu
Mtendaji wa Baraza la Taifa la Biashara(TNBC) Raymond Mbilinyi(Kulia)
akijibu maswali toka kwa wadau wa bishara(hawapo pichani) wakati wa
mkutano wa wadau wa biashara nchini uliolenga kujadili namna ya
kuboresha mazingira ya biashara kushoto ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri
Mkuu Sera,Uratibu,Bunge,kazi,Ajira na watu wenye ulemavu Dkt. Hamis
Mwinyimvua na katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta
Binafsi Tanzania Godfrey Simbeye. Picha zote na Na Raymond Mushumbusi
MAELEZO
……………………………………………………………………………………………………….
Na Raymond Mushumbusi MAELEZO
Serikali imedhamiria kuboresha
mazingira ya biashara nchini ili kuongeza uwekezaji na kuifanya Tanzania
kuwa nchi ya uchumi wa Kati.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es
salaam na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Uratibu,Bunge,kazi,Ajira
na watu wenye ulemavu Dkt. Hamis Mwinyimvua wakati akifungua mkutano wa
wadau wa biashara nchini uliolenga kujadili namna ya kuboresha
mazingira ya biashara.
Dkt. Hamis Mwinyimvua amesema
Serikali imeazimia kuboresha mazingira ya biashara nchini kwa kuandaa
sera ambazo zitawasaidia wafanyabishara kuwekeza katika sekta
mbalimbali.
“Tutahakikisha tunaboresha mazingira ya biashara kwani hakuna uwekezaji utakaowezekana kama mazingira ya ufanyaji wa biashara yatakuwa hayaridhishi.” Alisisitiza Dkt Mwinyimvua.
Kwa upande wake Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la
Biashara(TNBC) Raymond Mbilinyi amesema kuwa kuna haja ya Taasisi zote
za umma na binafsi kufanya kazi kwa pamoja ili kuboresha mazingira ya
biashara.“Tutahakikisha tunaboresha mazingira ya biashara kwani hakuna uwekezaji utakaowezekana kama mazingira ya ufanyaji wa biashara yatakuwa hayaridhishi.” Alisisitiza Dkt Mwinyimvua.
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania Godfrey Simbeye amesema kuwa Serikali ya awamu ya tano imeanza kufanya maboresho katika mazingira ya uwekezaji.
Akifafanua kuhusu maboresho hayo
Simbeye alisema kwasasa ujasili wa makampuni unafanyika kwa kutumia
mfumo wa kieletroniki ambapo muombaji anaweza kusajili kampuni pasipo
kufika katika Ofisi za BRELA katika kipindi cha muda mfupi.
Mkutano huu uliondaliwa na Ofisi
ya Waziri Mkuu ikishirikiana na Baraza la Taifa la Biashara, Taasisi ya
Sekta Binafsi Tanzania wakishirikiana na taasisi za umma na binafsi
umedhamiria kuwezesha wafanyabiashara na wawekezaji kuwa mazingira
mazuri ya kufanya biashara
MWAMKO MDOGO WA WATANZANIA KUTEMBELEA HIFADHI ZA TAIFA WAATHIRI UTALII WA NDANI.
Na. Aron Msigwa – Dodoma.
Mwamko mdogo wa Watanzania
kutembelea hifadhi za Taifa zilizo katika maeneo mbalimbali nchini
umeathiri kiwango cha idadi ya watu wanaotembelea hifadhi hizo kwa mwaka
hivyo kuzorotesha mapato yanayotokana na watalii wa ndani ya nchi.
Kauli hiyo imetolewa Bungeni
mjini Dodoma na Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe
wakati akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya wizara
hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2016/2017.
Amesema kuwa licha ya Serikali
kuweka gharama ndogo za viingilio katika hifadhi za Taifa kwa watanzania
na raia wa Jumuiya ya Afrika Mashariki bado mwamko ni mdogo hasa idadi
ya watanzania wanaokwenda kutembele hifadhi hizo jambo linalopunguza
mapato yanayotokana na utalii wa ndani wa watanzania.
Ameeleza kuwa kwa sasa watanzania
kwa maana ya watu wazima wanaotembelea hifadhi za ndani zilizoko eneo
la Kaskazini hutakiwa kulipa kiingilio cha shilingi elfu kumu
(10,000) na shilingi elfu 5000 hadi 15,000 kwa hifadhi zote zilizoko
kusini mwa Tanzania huku watoto wakilipia shilingi 2000 kutembelea
hifadhi yoyote nchini.
Prof. Maghembe ameeleza kuwa
kufuatia hali hiyo Wizara yake inaendelea na kampeni mbalimbali ili
kuwahamasisha Watanzania Wengi zaidi kushiriki katika shughuli za
utalii ndani ya nchi hivyo kuongeza patoa la Taifa.
Amesema katika kulinda na kutunza
hifadhi za Taifa ili kuhakikisha zinakuwa endelevu na kutoa mchango
mkubwa katika maendeleo ya taifa, Serikali ya awamu ya tano imejipanga
kikamilifu ujangili wa wanyama pori kwa kushirikiana na wadau mbalimbali
wa uhifadhi.
Amefafanua kuwa katika kupambana
na ujangili nchini Wizara kwa kushirikiana na wadau wa uhifadhi
imeshawabaini na kuwashughulikia baadhi ya wananchi wanaoishi kwenye
maeneo yanayopakana na hifadhi wanaoshirikiana na watumishi wasio
waaminifu kushiriki vitendo vya ujangili pia kuwashughulikia wawindaji
haramu wanaojihusisha moja kwa moja kuua wanyama kufanya udalali na
kusafirisha wanyama hao.
Aidha, amesema kuwa katika
kupambana na ujangili Serikali inaendelea kufanya doria ili
kuwashughulikia wawezeshaji ngazi ya nchi wanaonunua nyara, kusambaza
silaha, watakatishaji fedha , majangili nguli wa kimataifa kwa kukitumia
na kukiimarisha kitengo cha Intelijensia ili kiweze kutimiza majukumu
ya kiulinzi kwa ufanisi zaidi.
Pia amesema kuwa Wizara hiyo
imeendendelea kuongeza idadi ya askari wanyamapori 447 na maafisa 111 na
kufanya idadi ya watumishi waliopo kwa sasa kufikia 2,064 pamoja na
kuanzisha kada nane za doria za ushirikiano katika mifumo ya ikolojia ya
Selous-Niassa-Mikumi, Ruaha- Ruangwa, Katavi -Rukwa , Moyowosi -Kigosi,
Tarangire- Manyara-Simanjiro na Ngorongoro – Serengeti.
MAJALIWA AMWAKILISHA JPM MKUTANO WA ADB – LUSAKA
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Zambia, Edgar Lungu
katika Mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika – ADB kwenye Kituo cha
Mikutano cha Mlungushi kilichopo Lusaka Zambia , Mei 24, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri Mkuu wa Msumbiji, Carlos
Agostino do Rosario katika Mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika – ADB
kwenye Kituo cha Mikutano cha Mlungushi kilichopo Lusaka Zambia , Mei
24, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Rais
wa Zambia, Edgar Lungu akifungua Mkutano wa Benki ya Maendeleo ya
Afrika – ADB kwenye Kituo cha Mikutano cha Mlungushi kilichopo Lusaka
Zambia , Mei 24, 2016.Kushoto kwake ni Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa
ambaye alimwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano huo. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Mkutano wa Benki ya Maendeleo
ya Afrika – ADB kwenye Kituo cha Mikutano cha Mlungushi kilichopo Lusaka
Zambia , Mei 24, 2016. Wengine pichani kutoka kushoto ni Makamu wa Rais
wa Nigeria, Prof. Yemi Osinbojo, Rais wa Chad, Idriss Debyo, Rais wa
Zambia, Edgar Lungu na Waziri Mkuu wa Msumbiji, Carlos Agostino do
Rosario (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wasanii
wa Lusaka wakicheza ngoma ya asili ya Zambia katika mkutano wa Benki ya
Maendeleo ya Afrika – ADB uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha
Mlungushi Zambia Mei 24, 2016. Tanzania iliwakilishwa na Waziri Mkuu
Kassim Majaliwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
SERENGETI BOYS YAWANIA NAFASI YA TATU
Timu ya soka ya Taifa ya Vijana wenye umri wa chini ya miaka
17 ‘Serengeti Boys’ kesho Mei 25, 2016 kesho inaingia tena Uwanja wa
Tilak, Maidan mjini Goa India kukipiga na Malaysia katika mchezo wa
kuwania nafasi ya tatu kwenye michuano maalumu ya kimataifa
yaliyoandaliwa na Shirikisho la Soka nchini humo (AIF Youth Cup 2016
U-16).
Katika mchezo wa kuwania kucheza fainali, Serengeti Boys iliruhusu sare ya mabao 2-2 Malaysia hivyo kufikisha sare ya tatu baada ya kushinda mechi moja. Serengeti Boys imemaliza hatua ya awali ikiwa na pointi sita sawa na Korea Kusini, lakini ikazidiwa bao moja hivyo kushika nafasi ya tatu katika michuano ambayo Marekani iliongoza kwa kufikisha point nane.
Licha ya kuwa wenyeji, India ilitupwa mbali hivyo kwa kesho watakuwa watazamaji katika michezo yote miwili ukianzia wa Serengeti Boys na Malaysia utakaopigwa saa 7.30 mchana kwa saa za Tanzania kabla ya fainali kuchezwa saa 11.30 jioni kati ya Marekani na Korea Kusini.
India kimeandaa mashindano ya vijana wenye umri chini ya miaka 17, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kikosi chao kwa ajili ya Fainali za Kombe la Dunia kwa Vijana zitakazofanyika nchini humo mwaka 2017.
Katika mchezo wa kuwania kucheza fainali, Serengeti Boys iliruhusu sare ya mabao 2-2 Malaysia hivyo kufikisha sare ya tatu baada ya kushinda mechi moja. Serengeti Boys imemaliza hatua ya awali ikiwa na pointi sita sawa na Korea Kusini, lakini ikazidiwa bao moja hivyo kushika nafasi ya tatu katika michuano ambayo Marekani iliongoza kwa kufikisha point nane.
Licha ya kuwa wenyeji, India ilitupwa mbali hivyo kwa kesho watakuwa watazamaji katika michezo yote miwili ukianzia wa Serengeti Boys na Malaysia utakaopigwa saa 7.30 mchana kwa saa za Tanzania kabla ya fainali kuchezwa saa 11.30 jioni kati ya Marekani na Korea Kusini.
India kimeandaa mashindano ya vijana wenye umri chini ya miaka 17, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kikosi chao kwa ajili ya Fainali za Kombe la Dunia kwa Vijana zitakazofanyika nchini humo mwaka 2017.
NI FAINALI YA KUKATA NA SHOKA, VIINGILIO VYATAJWA
Fainali
za Kombe la Shirikisho maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC)
zinatarajiwa kufanyika kesho Mei 25, 2016 kwa kuzikutanisha timu za
Young Africans na Azam FC; zote za Dar es Salaam katika mchezo
utakaofanyika Uwanja wa Taifa jijini.
Sherehe za mchezo huo zitaanza rasmi saa 8.00 mchana kwa
mchezo wa awali wa kuburudisha kuzikutanisha timu za soka za kituo cha
Televisheni cha Azam ‘Azam Tv’ na wafanyakazi wa Shirikisho la Soka
Tanzania (TFF) na kurushwa live na kituo hicho kilichotokea watazamaji
wa nchi za Afrika Mashariki na Kati.
Viingilio katika mchezo huo itakuwa ni Sh 25,000 kwa VIP A wakati VIP B na C ni Sh 20,000 wakati majukwaa yenye viti vya rangi ya chungwa, mzunguko wenye viti vya rangi ya bluu na kijani ni Sh 5,000.
TFF inajivunia nyota wake kama Jemedari Said, Wilfred Kidao, Salum Madadi, Alfred Lucas, Danny Msangi, Michael Ngogo na Jonas Kiwia, lakini Meneja wa timu ya Wafanyakazi wa TFF, Eliud Mvella anasikitika kumkosa nyota wake Mwesigwa Selestine.
Azam Tv wanatamba na nyota wao waliopata kufanya kazi nje ya nchi katika vyombo vya kimataifa kama vile Charles Hilary, Tido Mhando, Yahaya Mohammed, Baruan Muhuza na Rhys aliyetajwa kwa jina moja.
Mbali ya burudani hiyo, pia Mwakilishi wa Azam Tv, Baruan Muhuza alisema kwamba mara baada ya mchezo huo utakaomalizika saa 9.00 alasiri, itafuata burudani ya wasanii mbalimbali ambao pia wataburudisha wakati wa mapumziko ya mchezo huo.
Alisema kwamba burudani hiyo itakuwa ni ya nusu saa kabla ya kuziacha timu kufanya maozezi ya kupasha moto viungo kabla ya mchezo huo kuanza saa 10.30 jioni na wakati wa mapumziko burudani itaendelea kabla ya kutolewa taji ambalo timu zitakuwa zikiliwania.
Kwa mujibu wa kanuni bingwa wa michuano hiyo atatwaa kombe, medali na fedha Sh 50,000,000 wakati mshindi wa pili atazawadiwa tuzo na medali. Kadhalika kutakuwa na tuzo kwa mchezaji bora, mfungaji bora na mchezaji bora wa michuano hiyo ambayo waaandaaji wamepanga kuiboresha mwakani.
Mwamuzi wa mchezo huo atakuwa Israel Mujuni Nkongo wa Dar es Salaam kwa mujibu wa Kamati ya Waamuzi ya TFF huku akisaidiwa na Ferdinand Chancha wa Mwanza upande wa kulia (line 1) na upande wa pili ni Soud Lila wa Dar es Salaam (line 2) na mwamuzi wa akiba mezani ni Frank Komba wa Dar es Salaam pia. Kamishna wa mchezo huo anatakuwa Juma Mgunda wa Tanga.
Kwa mujibu wa kanuni za Ligi Kuu msimu 2015/16, mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu 2015/16 wataiwakilisha nchi katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2016/17. Nafasi hiyo imechukuliwa na Young Africans.
Kadhalika Azam ina tiketi tayari ya kushiriki Kombe la Shirikisho Barani Afrika kwa kufika fainali za ASFC ingawa kanuni zinataka bingwa ambako kwa upande wa Yanga wana tiketi ya michuano ya juu zaidi ya shirikisho. Mvuto wa mchezo wa Jumatano ni ushindani wa soka na zawadi kwa bingwa.
Fainali za Kombe la Shirikisho zinakuja baada ya mchuano ulioshindanisha timu 64 za Ligi Kuu Tanzania Bara – VPL (16); Ligi Daraja la Kwanza -FDL (24), Ligi Daraja la Pili – SDL (24).
Viingilio katika mchezo huo itakuwa ni Sh 25,000 kwa VIP A wakati VIP B na C ni Sh 20,000 wakati majukwaa yenye viti vya rangi ya chungwa, mzunguko wenye viti vya rangi ya bluu na kijani ni Sh 5,000.
TFF inajivunia nyota wake kama Jemedari Said, Wilfred Kidao, Salum Madadi, Alfred Lucas, Danny Msangi, Michael Ngogo na Jonas Kiwia, lakini Meneja wa timu ya Wafanyakazi wa TFF, Eliud Mvella anasikitika kumkosa nyota wake Mwesigwa Selestine.
Azam Tv wanatamba na nyota wao waliopata kufanya kazi nje ya nchi katika vyombo vya kimataifa kama vile Charles Hilary, Tido Mhando, Yahaya Mohammed, Baruan Muhuza na Rhys aliyetajwa kwa jina moja.
Mbali ya burudani hiyo, pia Mwakilishi wa Azam Tv, Baruan Muhuza alisema kwamba mara baada ya mchezo huo utakaomalizika saa 9.00 alasiri, itafuata burudani ya wasanii mbalimbali ambao pia wataburudisha wakati wa mapumziko ya mchezo huo.
Alisema kwamba burudani hiyo itakuwa ni ya nusu saa kabla ya kuziacha timu kufanya maozezi ya kupasha moto viungo kabla ya mchezo huo kuanza saa 10.30 jioni na wakati wa mapumziko burudani itaendelea kabla ya kutolewa taji ambalo timu zitakuwa zikiliwania.
Kwa mujibu wa kanuni bingwa wa michuano hiyo atatwaa kombe, medali na fedha Sh 50,000,000 wakati mshindi wa pili atazawadiwa tuzo na medali. Kadhalika kutakuwa na tuzo kwa mchezaji bora, mfungaji bora na mchezaji bora wa michuano hiyo ambayo waaandaaji wamepanga kuiboresha mwakani.
Mwamuzi wa mchezo huo atakuwa Israel Mujuni Nkongo wa Dar es Salaam kwa mujibu wa Kamati ya Waamuzi ya TFF huku akisaidiwa na Ferdinand Chancha wa Mwanza upande wa kulia (line 1) na upande wa pili ni Soud Lila wa Dar es Salaam (line 2) na mwamuzi wa akiba mezani ni Frank Komba wa Dar es Salaam pia. Kamishna wa mchezo huo anatakuwa Juma Mgunda wa Tanga.
Kwa mujibu wa kanuni za Ligi Kuu msimu 2015/16, mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu 2015/16 wataiwakilisha nchi katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2016/17. Nafasi hiyo imechukuliwa na Young Africans.
Kadhalika Azam ina tiketi tayari ya kushiriki Kombe la Shirikisho Barani Afrika kwa kufika fainali za ASFC ingawa kanuni zinataka bingwa ambako kwa upande wa Yanga wana tiketi ya michuano ya juu zaidi ya shirikisho. Mvuto wa mchezo wa Jumatano ni ushindani wa soka na zawadi kwa bingwa.
Fainali za Kombe la Shirikisho zinakuja baada ya mchuano ulioshindanisha timu 64 za Ligi Kuu Tanzania Bara – VPL (16); Ligi Daraja la Kwanza -FDL (24), Ligi Daraja la Pili – SDL (24).
Aliyekuwa Mkurugenzi wa jiji la Dar es salaam aagwa
Baadhi
ya Mawakili na Wanasheria wakiingiza mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa
jiji la Dar es salaam Bwa. Mbonea Wilson Kabwe katika viwanja vya
Karimjee kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho.(PICHA NA BEATRICE
LYIMO-MAELEZO)
Familia
ya aliyekuwa Mkurugenzi wa jiji la Dar es salaam Bw. Mbonea Wilson
Kabwe wakifuatilia ibada ya kutoa heshima za mwisho ya kuuaga mwili huo.
Waziri
wa Ofisi ya Rais TAMISEMI George Simbachawene akiwakisha salamu za
rambirambi kutoka Serikalini wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa
aliyekuwa Mkurugenzi wa jiji la Dar es salaam Bw. Mbonea Wilson Kabwe
katika viwanja vya Karimjee, leo jijini Dar es salaam.
Mkuu
wa mkoa wa Dar es salaa Paul Makonda akiwasilisha salamu za rambirambi
kutoka ofisi ya Mkuu mkoa wa Dar es salaam wakati wa kutoa heshima za
mwisho kwa aliyekuwa Mkurugenzi wa jiji la Dar es salaam Bw. Mbonea
Wilson Kabwe katika viwanja vya Karimjee, leo jijini Dar es salaam
Waziri
wa Ofisi ya Rais TAMISEMI George Simbachawene akitoa heshima za mwisho
kwa aliyekuwa Mkurugenzi wa jiji la Dar es salaam Bw. Mbonea Wilson
Kabwe katika viwanja vya Karimjee kabla ya safari ya kuelekea Mamba,
Wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro kwa mazishi.
Mkuu
wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi akitoa heshima za mwisho kwa
aliyekuwa Mkurugenzi wa jiji la Dar es salaam Bw. Mbonea Wilson Kabwe
katika viwanja vya Karimjee kabla ya safari ya kuelekea Mamba, Wilayani
Same mkoa wa Kilimanjaro kwa mazishi.
Meya
wa jiji la Dar es salaam Isaya Mwita akitoa heshima za mwisho kwa
aliyekuwa Mkurugenzi wa jiji la Dar es salaam Bw. Mbonea Wilson Kabwe
katika viwanja vya Karimjee kabla ya safari ya kuelekea Mamba, Wilayani
Same mkoa wa Kilimanjaro kwa mazishi.
Baadhi
ya Ndugu, jamaa na marafiki waliohudhuria ibada ya heshima za mwisho
kwa aliyekuwa Mkurugenzi wa jiji la Dar es salaam Bw. Mbonea Wilson
Kabwe kabla ya safari ya kuelekea Mamba, Wilayani Same mkoa wa
Kilimanjaro kwa mazishi.
14 wakamatwa mauaji ya watu watatu msikitini Mwanza
Jeshi la Polisi Nchini
linawashikilia watuhumiwa 14 kufuatia tukio la mauaji ya watu watatu
lililotokea katika msikiti wa Rahman eneo la Ibanda relini mkaoni
Mwanza, Mei 18 mwaka huu.
Akiongea na waandishi wa habari
leo jijini Dar es Salaam, Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini Kamishna
Msaidizi Advera Bulimba alisema kuwa msako wa kuwakamata watuhumiwa
wengine unaendelea katika maeneo mbalimbali nchini.
Hivyo amewaomba wananchi kutoa
ushirikiano mkubwa kwa jeshi hilo ili kufanikisha kuwakamata wale wote
wanaotuhumiwa kuhusika na tukio hilo.
“Nitoe wito kwa wananchi
kushirikiana kikamilifu na vyombo vya usalama katika kufichua wahalifu
kwa kuwa ni watu tunaoishi nao, hivyo hakuna budi kutoa taarifa zao ili
usalama na mali zetu uendelee kuimarika”, aliongeza Kamishna Msaidizi
Bulimba.
Hata hivyo, alieleza kuwa hali ya
usalama nchini iko shwari na kuwatoa hofu wananchi kwamba jeshi hilo
limejipanga kikamilifu katika kuhakikisha hali ya usalama inaendelea
kuwepo.
“Niwaombe wananchi kuondoa hofu
juu ya hali ya usalama na wasiwasi na watoe ushirikiano kwa vyombo vya
dola ili kuhakikisha kwamba wote wanaojihusisha na uhalifu wanakamatwa
haraka”, alisema Kamishna Msaidizi Bulimba.
Aliongeza kuwa uchunguzi zaidi wa
matukio ya uhalifu nchini unaendelea ikiwemo matukio ya mkoani Tanga,
Dar es Salaam na mikoa mingine ili kubaini na kuwakamata wahusika na
kufikishwa katika vyombo vya sheria.
Hivi karibuni kumeripotia matukio
mbalimbali ya uvunjifu wa amani katika mikoa mbalimbali nchini ikiwemo
mauaji ya watu watatu waliouawa wakiwa msikitini jijini Mwanza.
Wamiliki wa silaha watakiwa kuhakiki silaha zao kabla ya Juni 30
Na Lorietha Laurence-Maelezo
Jeshi la Polisi nchini limetoa wito kwa wamiliki wa silahi kujitokeza na kuhakiki silaha zao katika Wilaya wanazoishi kabla ya kumalizika kwa zoezi hilo mnamo Juni 30 mwaka huu.
Hayo yalisemwa na Msemaji wa
Jeshi hilo Kamishna Msaidizi Advera Bulimba alipokuwa akiongea na
waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
“Serikali imetoa muda wa miezi
mitatu kukamilisha zoezi hili muhimu na tayari miezi miwili imepita
hivyo wale ambao bado hawajahakiki silaha zao kuzikakiki sasa kabla ya
Juni 30 ili kuepukana na usumbufu” alisema Kamshna Msaidizi Bulimba na
kuongeza kuwa:
“Natoa wito kwa watu wote
wanaomiliki silaha kinyume na sheria kusalimisha silaha hizo katika
vituo vya polisi, ofisi za serikali na kwenye nyumba za ibada na
watakaofanya hivyo ndani ya muda ulipangwa hawatachukuliwa hatua zozote
za kisheria”.
Aliongeza kuwa baada ya muda
ulipangwa na Serikali kupita na wamiliki hawajahakiki silaha zao Jeshi
la Polisi nchini litaendesha operesheni kali kuwakamata wale ambao
hawakujitokeza katika zoezi la uhakiki na hatua kali zitachukuliwa
ikiwemo kufutiwa leseni na silaha zao kutaifishwa na kuwa mali ya
Serikali.
Aliwaomba ndugu wa wale walikuwa
wakimiliki silaha ambao wamefariki au ni wagonjwa wasalimishe silaha
hizo katika vituo vya Polisi kwa niaba ya ndugu zao ndani ya kipindi cha
uhakiki wa silaha.
Zoezi la uhakiki wa silaha
lilianza Machi 21 mwaka huu kufuatana na sheria ya usimamizi wa silaha
na risasi ya mwaka 2015, ambapo kifungu cha 66 cha sheria hiyo kinamtaka
kila mmiliki kuhakiki kumbukumbu za silaha yake au risasi pale
anapoamriwa na mamlaka.
Lengo la kuhakiki kumbukumbu za
wamiliki wa silaha ni kupata taarifa sahihi za wamiliki hao
zitakazosaidia kubaini wale wote wanaomiliki kinyume na sheria,
kuwafahamu wamiliki waliohama na kuhamia makazi mapya, kuwafahamu
wamiliki waliofariki ili kuzuia vitendo vya uhalifu na uvunjwaji wa
amani nchini.
SHERIA MPYA YA USHIRIKA YAWANUFAISHA WAKULIMA WA TUMBAKU
Na Fatma Salum- MAELEZO, Dodoma.
Serikali imebainisha kuwa Sheria
Mpya ya Ushirika (Sheria namba 6 ya mwaka 2013) imesaidia kupunguza
changamoto za wanachama wa Vyama vya Ushirika pamoja na wakulima wa
Tumbaku nchini.
Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na
Uvuvi Mhe. Tate William Ole-Nasha aliyasema hayo leo bungeni Mjini
Dodoma wakati akijibu maswali ya wabunge kwenye kipindi cha maswali na
majibu.
Mhe. Ole-Nasha alisema kuwa
baadhi ya marekebisho ya Sheria hiyo yanayowanufaisha wanachama wa Vyama
vya Ushirika wakiwemo wakulima wa tumbaku ni pamoja na kuwachukulia
hatua viongozi wabadhirifu wa vyama hivyo.
“ Katika maeneo yanayolima
tumbaku viongozi wabadhirifu wa Vyama vya Ushirika 26 Mkoani Ruvuma
wakiwemo Maafisa Ushirika wawili wamesimamishwa kazi na kufikishwa
mahakamani.” alisema Ole-Nasha.
Pia Mhe. Ole-Nasha alifafanua
kuwa sheria ya sasa inakataza vyama kukopa zaidi ya asilimia 30 ya mali
zake (Own Capital) ili kuzuia vyama hivyo kuingia kwenye madeni makubwa
yasiyolipika na hatimaye kusababisha migogoro ndani ya vyama.
Akizungumzia mafanikio upande wa
tozo, Ole-Nasha lisema kuwa kuanzia sasa Mkutano Mkuu utakuwa chini ya
uenyekiti huru utakaochaguliwa na wajumbe wa mkutano huo kinyume na
awali ambapo Mwenyekiti wa Bodi ya Tumbaku ndiye aliyekuwa Mwenyekiti wa
Mkutano Mkuu.
“Lengo ni kulinda maslahi ya
wakulima ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa tozo zote zinazoidhinishwa
na Mkutano Mkuu zinakuwa na maslahi kwa wakulima wa Tumbaku.” Aliongeza
Ole-Nasha.
Kwa mujibu wa Ole-Nasha Serikali
inatambua uwepo wa kodi nyingi na tozo kwenye mazao mbalimbali ya
chakula na biashara hivyo kwa kushirikiana na wadau imedhamiria
kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara katika sekta ya kilimo kwa
kupitia upya taratibu, vibali, tozo, kodi, ushuru na ada nyingine
zinazotozwa ili kutoa nafuu kwa wakulima.
SERIKALI YAENDELEA NA MPANGO WA KUSOGEZA HUDUMA ZA AFYA VIJIJINI.
Serikali imewahakikishia wananchi
kuwa inaendelea na utekelezaji wa mpango wa ujenzi wa zahanati kila
kijiji, vituo vya afya kila kata na Hospitali katika kila Wilaya ikiwa
ni mkakati wake wa kuboresha huduma za afya kote nchini.
Hayo yamesemwa leo bungeni mjini
Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Suleiman Jafo wakati akijibu swali la Mbunge wa
Busokelo Mhe. Fredy Mwakibete kuhusu Mpango wa kujenga zahanati kila
Kijiji na kituo cha afya kila Kata.
Mhe. Jafo alisema kuwa Serikali
kwa kushirikisha nguvu za wananchi inaendelea na ujenzi wa zahanati,
vituo vya afya na Hospitali kila Wilaya ambapo ujenzi huo unafanyika
chini ya Mpango wa Maendeleo ya Afya ya Msingi (MMAM).
“Utekelezaji wa Mpango huo
unaendelea na kwenye bajeti ya mwaka wa fedha 2016/2017 Halmashauri
zimetengewa shilingi bilioni 182.5 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya
afya na kipaumbele kitatolewa katika kukamilisha miradi viporo badala
ya kuanzisha miradi mpya.” alisema Jafo.
Kwa mujibu wa Mhe. Jafo, Ofisi
ya Rais TAMISEMI inafanya tathmini ya utekelezaji wa mpango wa MMAM ili
kujua idadi ya Vijiji ambavyo havina zahanati, Kata ambazo hazina vituo
vya afya na Wilaya ambazo hazina Hospitali lengo likiwa ni kuhakikisha
maeneo hayo yanapewa kipaumbele na kutengewa fedha ili kusogeza huduma
za afya karibu na wananchi.
Akieleza mafanikio ya mpango wa
MMAM, Mhe. Jafo alisema kuwa chini ya mpango huo vituo vya kutolea
huduma za afya vimeongezeka kutoka 5,255 mwaka 2006/2007 hadi 6,935
mwaka 2014/2015 sawa na ongezeko la asilimia 39.9 hivyo kuna matumaini
makubwa ya kuvifikia vijiji vingi kupitia mpango huo.
TAWLA yasisitiza mabadiliko ya sheria za Usalama Barabarani ili kupunguza ajali na vifo
Jonas Kamaleki-Maelezo
Mkuu wa Kikosi cha Usalama
Barabarani nchini, Kamanda Mohamed Mpinga amesema mabadiliko ya sheria
ya usalama barabarani hayaepukiki ili kupunguza vifo na majeruhi
vitokanavyo na ajali za barabarani.
Kamanda Mpinga amayesema hayo leo
jijini Dar es Salaam wakati wa Uzinduzi wa Programu ya Usalama
Barabarani inayoratibiwa na Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania
(TAWLA) kwa kushirikiana na wadau mbali mbali wa Usalama Barabarani.
“Sheria zinazohusu masuala ya
Usalama barabarani inabidi zifanyiwe marekebisho ili ziweze kusaidia
kupunguza vifo na majeruhi kwani zilivyo sasa hazitoi adhabu kali kwa
wanaokiuka sheria hizo”alisema Kamanda Mpinga.
Aidha Kamanda huyo alisisitiza kuwa suala la Usalama Barabarani ni la kila mmoja hivyo inabidi litiwe mkazo na watu wote.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa
TAWLA, Bi Tike Mwambipile amesema chama hicho kwa kuzingatia umuhimu wa
kushughulikia masuala ya Usalama Barabarani kimeona ni vyema kikafanya
kikao hicho ili kupata mawazo ya wadau.
Bi Mwambipile amesema vifo vingi
vinavyotokana na ajali za barabarani vinawaacha wanawake wengi wakiwa
wajane na watoto yatima wanaongezeka.
Ameongeza kuwa fedha nyingi zinatumika kuwahudumia majeruhi badala ya kufanya shughuli nyingine za maendeleo ya jamii.
Naye Mwenyekiti wa TAWLA, Bi
Aisha Bade amesema mabadiliko makubwa ya sera na sheria za usalama
barabarani ni lazima yafanyike ili kupunguza athari zitokanazo na ajali
za barabarani.
Bi Bade amesema TAWLA kwa
kushirikiana na wadau wengine inafanya juhudi za makusudi ili
kuhakikisha sheria hizi zinabadilishwa ili kukabiliana na janga hili.
Visababishi vya ajali kwa hapa
nchini vimetajwa na Mratibu wa Mradi Bloomberg wa Usalama Barabarani, Bi
Mary Kessy kuwa ni ulevi, kutofunga mkanda, kutoweka vizuizi vya watoto
kwenye magari, mwendo kasi na kutovaa kofia ngumu kwa waendesha
pikipiki.
Kampuni ya Vision Investiments yatoa fursa kwa makampuni mengine.
…………………………………………………………………………………………………………………..
Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO
Kampuni ya Vision Investments
imetoa fursa kwa makampuni mengine kushiriki kutoa huduma mbalimbali
wakati wa makutano baina ya wanunuzi na wauzaji wa magari yanayoandaliwa
na Kampuni hiyo yatakayofanyika Mei 29 mwaka huu.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es
Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo Ally Nchahaga ambaye
amewaomba wauzaji na wanunuzi wa magari pamoja na makampuni mbalimbali
kushiriki katika makutano hayo ili kutimiza mahitaji yao ya magari.
“Kama ilivyo ada kila Jumapili ya
mwisho wa mwezi Kampuni yetu inawakutanisha wauzaji, wanunuzi wa magari
pamoja na makampuni tofauti kutoa huduma shirikishi zinazokwenda
sambamba na biashara hii ya magari ya watu binafsi” alisema Nchahaga.
Kwa mujibu wa Kampuni ya Vision
Investments makutano hayo yatafanyika nchini kwa mara ya sita ambapo
mwaka huu yatafanyika katika viwanja vya Coco Mihogo kuanzia sa 4
asubuhi.
Nchahaga alizitaja baadhi ya
kampuni zinazotoa huduma shirikishi zikiwemo Benki ya watu wa Zanzibar
(PBZ), Kampuni ya Mafuta ya Oil com, Kampuni ya Coca cola, pamoja na
Kampuni ya Simply Elegant ambazo zinatoa huduma za mikopo ya magari,
mafuta ya magari, vinywaji pamoja na vilainishi vya magari kwa wateja
watakaokuwepo katika makutano hayo.
Aidha, Nchahaga amesisitiza kuwa
kampuni yao sio ya maonyesho ya magari wala wao sio madalali bali ni
kampuni inayotoa fursa yenye gharama nafuu kwa wanachi kutimiza mahitaji
yao ya magari.
Ameongeza kuwa elimu kuhusu
magari na vifaa vyake itatolewa bure na mtu yeyote atakayehitaji kuuza
gari lake atachangia shilingi elfu 50 ikiwa ni mchango wa kuweka gari
lake katika viwanja hivyo pamoja na kufanyiwa matangazo katika mitandao
ya kijamii kwa mwezi mzima.
Naye Mkuu wa Kitengo cha Mauzo
cha Kampuni ya Mafuta ya Oil com Aluwy Amar amesema kuwa Kampuni yao
inatoa huduma mpya ya kulipa kwa kutumia kadi itakayomrahisishia mteja
kupatiwa huduma za mahitaji ya mafuta ya magari yao kwa hiyo,
watashiriki katika makutano hayo ili kutoa elimu kwa wateja hao kuhusu
matumizi ya kadi hizo.
“Huduma hii tumeianza kuitoa kwa
mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, huduma za kupatiwa kadi pamoja na
kufanya miamala yote ni bure pia mwisho wa mwezi tutatoa huduma ya
punguzo la bei kulingana na matumizi ya mteja”,alisema Amar.
Kwa upande wake Afisa Mahusiano
wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Aisha Mohammed amesema kuwa
wamefurahi kupata fursa hii ya kushiriki katika makutano hayo kwakua
anaamini ni njia moja wapo kwa benki hiyo kuwapa mikopo au kuwanunulia
magari wateja wao ili kutimiza ndoto zao kwa muda muafaka.
‘TUNASAKA’ NYOTA WAPYA– Mbeya City Council FC
SIKU chache baada ya pazia la ligi kuu ya soka Tanzania
bara kufungwa,Kocha mkuu wa Mbeya City Fc Kinnah Phiri ameanza zoezi
maalumu la kusaka nyota wapya ambao atawajumuisha moja kwa moja kwenye
vikosi vya timu yake msimu ujao.
Akizungumza muda mfupi baada ya majaribio ya siku ya kwanza kwa wachezaji wapya vijana waliofika kujaribu bahati zao kwa kuonyesha vipaji walivyonavyo navyo, afisa habari wa City Dismas Ten amesema kuwa muitikio umekuwa mzuri katika siku hii kwanza ambayo nyota hao wa baadae wamefika kuonysha uwezo wao mbele ya kocha huyo raia wa malawi.
“Leo ni siku ya kwanza, kitu kizuri mwitikio umekuwa mkubwa, takribani vijana 50 wamejitokeza kujaribu bahati zao kulingana na vipaji walivyonavyo, haya ni majaribio ambayo kocha Phiri ameyaitisha ili kusaka vipaji vipya ambavyo moja kwa moja vitaingia kwenye timu yetu kubwa na ile ya U20, alisema.
Akiendelea zaidi, Ten alisema kuwa, hii imekuwa ni kawaida kwa City kila inapofika mwisho wa msimu kuwaleta pamoja vijana wote wanaoamini wanauwezo wa kucheza mpira, kufichua vipaji vyao ili waje kuwa wachezaji wakubwa baadae.
“Hii ni kawaida yetu, kila tunapomaliza msimu huwa tunafanya hivyi, vijana wote wenye umri kuanzia miaka 17-22 ni fursa kwao kujitokeza, zoezi hili la kusaka vipaji litakuwepo kwa juma zima, leo hatukuwa na kocha Phiri kwa sababu alikuwa kwenye majukumu mengine lakini kesho tutakuwa kwenye uwanja Sokoine na mwalimu atakuwa, kwa hiyo vijana wote ndani ya jiji la Mbeya na mikoa ya jirani waje kujaribu bahati zao.
Kwa upande wa vijana waliojitokeza siku ya leo, walishukuru kuwepo kwa zoezi hili kwa sababu limerahisisha uwezekano wa vipaji walivyonavyo kuonekana mapema hatimaye waweze kutimiza ndoto zao za kuwa wachezaji wakubwa siku za usoni
Akizungumza muda mfupi baada ya majaribio ya siku ya kwanza kwa wachezaji wapya vijana waliofika kujaribu bahati zao kwa kuonyesha vipaji walivyonavyo navyo, afisa habari wa City Dismas Ten amesema kuwa muitikio umekuwa mzuri katika siku hii kwanza ambayo nyota hao wa baadae wamefika kuonysha uwezo wao mbele ya kocha huyo raia wa malawi.
“Leo ni siku ya kwanza, kitu kizuri mwitikio umekuwa mkubwa, takribani vijana 50 wamejitokeza kujaribu bahati zao kulingana na vipaji walivyonavyo, haya ni majaribio ambayo kocha Phiri ameyaitisha ili kusaka vipaji vipya ambavyo moja kwa moja vitaingia kwenye timu yetu kubwa na ile ya U20, alisema.
Akiendelea zaidi, Ten alisema kuwa, hii imekuwa ni kawaida kwa City kila inapofika mwisho wa msimu kuwaleta pamoja vijana wote wanaoamini wanauwezo wa kucheza mpira, kufichua vipaji vyao ili waje kuwa wachezaji wakubwa baadae.
“Hii ni kawaida yetu, kila tunapomaliza msimu huwa tunafanya hivyi, vijana wote wenye umri kuanzia miaka 17-22 ni fursa kwao kujitokeza, zoezi hili la kusaka vipaji litakuwepo kwa juma zima, leo hatukuwa na kocha Phiri kwa sababu alikuwa kwenye majukumu mengine lakini kesho tutakuwa kwenye uwanja Sokoine na mwalimu atakuwa, kwa hiyo vijana wote ndani ya jiji la Mbeya na mikoa ya jirani waje kujaribu bahati zao.
Kwa upande wa vijana waliojitokeza siku ya leo, walishukuru kuwepo kwa zoezi hili kwa sababu limerahisisha uwezekano wa vipaji walivyonavyo kuonekana mapema hatimaye waweze kutimiza ndoto zao za kuwa wachezaji wakubwa siku za usoni
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AZINDUA KAMPENI YA LONGA NASI LEO
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akihutubia kwenye uzinduzi wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema
au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au maoni ya
kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana
pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113. Uzinduzi
huo umefanyika leo Mei 24,2016 katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke
jijini Dar es salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akizungumza jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki kabla ya kuzindua
mpango wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU
kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au maoni ya kuboresha mapambano
dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa
matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113. Uzinduzi huo umefanyika leo
Mei 24,2016 katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akizungumza jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki kabla ya kuzindua
mpango wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU
kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au maoni ya kuboresha mapambano
dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa
matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113. Uzinduzi huo umefanyika leo
Mei 24,2016 katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akivuta kamba kuondoa kitambaa kuzindua mpango wa kampeni ya LONGA NASI
inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za vitendo vya
Rushwa au maoni ya kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi
huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura
ya 113. Uzinduzi huo umefanyika leo Mei 24,2016 katika viwanja vya
Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam. Kushoto Waziri wa Nchi Ofisi
ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angela
Kairuki, kushoto Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Valentino Mlowola.
Makamu
wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Mkurugenzi Mkuu wa
Taasisi ya Kuzuwia na kupambana na Rushwa Nchini TAKUKURU Valentino
Mlowola baada ya kuzindua mpango wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha
Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au
maoni ya kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo
umeambatana pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura ya
113. Uzinduzi huo umefanyika leo Mei 24,2016 katika viwanja vya Mwembe
Yanga Temeke jijini Dar es salaam. (Picha na OMR)
Taasisi ya Mbalawala yaipongeza Nishati na Madini kuwezesha shughuli zake kufahamika
Meneja
Uendeshaji kutoka Taasisi ya Wanawake ya Mbalawala Women
Organization inayojishughulisha na uzalishaji wa briketi za makaa ya
mawe wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, Hajiri Kapinga (kulia) akielezea
mafanikio ya taasisi hiyo mara baada ya taarifa zake kuanza
kuchapishwa katika Jarida la Wizara. Kushoto ni Kaimu Mkuu wa Kitengo
cha Mawasilano Serikalini Wizara ya Nishati na Madini, Asteria Muhozya.
………………………………………………………………………………………………………………
Na Greyson Mwase, Dar es Salaam
Taasisi ya Wanawake ya Mbalawala inayojishughulisha na uzalishaji wa braketi za makaa ya mawe ijulikanayo kama Mbalawala Women Organization
yanye makazi yake katika kijiji cha Ruanda wilayani Mbinga mkoani
Ruvuma imeipongeza Wizara ya Nishati na Madini kupitia Kitengo cha
Mawasiliano Serikali kwa kutangaza shughuli zake hali iliyopelekea
wateja wa makaa ya mawe katika taasisi hiyo kuongezeka kadri siku
zinazokwenda.
Taasisi hiyo inayofanya shughuli
zake karibu na Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Ngaka inajishughulisha na
utengenezaji wa briketi bora za makaa ya mawe kwa ajili ya kupikia
Pongezi hizo zilitolewa na
Meneja Uendeshaji wa Taasisi hiyo Hajiri Kapinga aliyekutana na Kaimu
Mkuu wa Kitengo cha Mawasilano Serikalini Wizara ya Nishati na Madini,
Asteria Muhozya jijini Dar es Salaam na kusema kuwa tangu Kitengo
cha Mawasiliano Serikalini kianze kuchapisha habari zinazohusu taasisi
hiyo kupitia Jarida lake linalochapishwa kila wiki lijulikanano kama MEM Newsbulletin wameshuhudia idadi kubwa ya wateja ikiongezeka na kuzidi uzalishaji wa taasisi hiyo.
Alisema kabla ya habari zake
kuchapishwa na Jarida la Wizara, taasisi hiyo ilikuwa ikiwauzia
briketi za makaa ya mawe wateja wake walioko katika vijiji
vinavyozunguka mgodi wao wilayani Mbinga mkoani Ruvuma.
“Mara baada ya taarifa zetu
kuanza kuchapishwa na Jarida la Wizara ya Nishati na Madini
tumeshuhudia mabadiliko makubwa kwani tumekuwa tukipokea simu kutoka
mikoa mbalimbali hususan Dar es Salaam, Mbeya, Iringa wateja
wakihitaji bidhaa, hali inayopelekea mahitaji kuwa makubwa kuliko
kiasi tunachozalisha,.” alisema Kapinga.
“Jarida limetufanya tujulikane,
hata wahisani wetu wameahidi kuongeza nguvu na misaada katika
kuwezesha mradi huu kuendelea vizuri; Jamii inasoma habari zetu na
sisi tumesoma masuala mengi kuhusu nishati na madini,” aliongeza
Kapinga aliendelea kusema kuwa
ili kukabiliana na mahitaji makubwa ya wateja taasisi hiyo imeweka
mkakati wa kununua mtambo mwingine kutoka nje ya nchi ili kuongeza
uzalishaji utakaoendana na mahitaji ya wateja.
Alisema mikakati mingine ni
pamoja na ujenzi wa ghala la kuhifadhia makaa ya mawe, ununuzi wa magari
kwa ajili ya usambazaji wa bidhaa ya briketi za makaa ya mawe katika
vituo vya uwakala vitakavyoanzishwa nchini karibu kila mkoa.
“Mara baada ya kuanzisha vituo
hivyo, wateja wetu watakuwa wanapata bidhaa kutoka kwa mawakala badala
ya kukutana na sisi moja kwa moja,” alisema Kapinga.
Alisema kuwa pia wamejipanga
kutoa elimu ya matumizi ya briketi za matumizi ya makaa ya mawe na
utafutaji wa masoko kwa kushirikiana na wadau wa utengenezaji wa
majiko sanifu yanayotumia briketi za makaa ya mawe kwa matumizi ya
majumbani.
Akielezea uanzishwaji wa taasisi
hiyo, Kapinga alisema kuwa taasisi hiyo ilianzishwa chini ya ufadhili
wa Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Ngaka (Tancoal Energy Limited)
unaomilikiwa na kampuni ya Intra Energy ya Australia kwa asilimia 70 na
Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) kwa
asilimia 30 ambao wanafurahishwa na hatua iliyofikiwa na taasisi hii
katika uzalishaji ya briketi za makaa ya mawe.
Aliongeza sambamba na uzalishaji
wa briketi za makaa ya mawe, taasisi hiyo imekuwa ikitoa mafunzo juu ya
utumiaji wa briketi ya makaa ya mawe katika vijiji na miji jirani na
mgodi wake pamoja na ushiriki katika maonesho mbalimbali ndani ya mkoa
wa Ruvuma.
“Lengo letu ni kuhakikisha
briketi za makaa ya mawe zinazoendelea kuzalishwa katika mgodi wetu
zinatumika majumbani, shuleni , vyuoni na taasisi mbalimbali na
kupunguza uharibifu wa mazingira kwa kutumia kuni” alisema Kapinga
Aliendelea kusema kuwa lengo la
uanzishwaji wa taasisi hiyo lilikuwa ni kuhamasisha matumizi ya nishati
mbadala kupitia briketi za makaa ya mawe na kuachana na matumizi ya
kuni ambayo ni chanzo cha uharibifu wa mazingira.
Naye Kaimu Mkuu wa Kitengo cha
Mawasiliano Serikalini, Asteria Muhozya alisema kuwa lengo la Jarida
la Wizara ni kutangaza shughuli za nishati na madini ikiwa ni pamoja
na taasisi zake
Muhozya aliongeza kuwa jarida la
Wizara lipo tayari kutangaza shughuli za wadau wa Madini na Nishati
ili kuhakikisha kuwa sekta hizo zinakuwa na kuwa na mchango mkubwa
katika ukuaji wa uchumi wa nchi
SERIKALI KUZITAMBUA NA KUZIRASIMISHA BANDARI BUBU ZILIZOKIDHI VIGEZO KWA LENGO LA KUKUSANYA KODI.
.DODOMA.
Serikali imesema kuwa inaendelea
na utaratibu wa kuzitambua na kuzirasimisha bandari Bubu zote
zilizokidhi vigezo ambazo zinatumiwa na wafanyabiashara kupitisha bidhaa
mbalimbali ili ziweze kuchangia katika Pato la Taifa kulingana na
wingi wa bidhaa zinazopitishwa katika bandari hizo.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano Mhandisi Edwin Ngonyani ametoa kauli hiyo bungeni mjini
Dodoma leo wakati akijibu maswali ya Wabunge waliotaka kujua mkakati wa
Serikali katika kudhibiti bidhaa zinazoingizwa nchini na wafanyabiashara
wasio waaminifu kupitia bandari bubu hali inayoikosesha serikali
mapato.
Mhe. Ngonyani amekiri kuwepo kwa
ongezeko la wafanyabiashara wasio waaminifu wanaotumia bandari hizo
katika maeneo mbalimbali nchini hasa ukanda wa Pwani wa Bahari ya Hindi,
Ziwa Tanganyika, Ziwa Victoria na maeneo ya mipakani ambayo yanaingia
moja kwa moja kwenye makazi ya watu akieleza kuwa wengi wa
wafanyabiashara wanakwepa kodi na kutafuta urahisi wa kupitisha mizigo
yao.
Amesema maeneo hayo yamekuwa
chanzo kikubwa cha upitishaji wa bidhaa zisizokidhi viwango, Silaha na
Biashara haramu na kubainisha kuwa baadhi ya wafanyabiashara wa ndani
wasio waaminifu wamekuwa wakishirikiana na raia wa kigeni kuagiza na
kuingiza bidhaa hizo kupitia bandari hizo kwa lengo la kukwepa kodi.
Amesisitiza kuwa Serikali ya
Awamu ya tano inalishughulikia kwa nguvu zote suala hilo kupitia
watendaji wake wakiwemo wakuu wa mikoa wa maeneo husika ambao
hushirikiana na mamlaka zinazohusika vikiwemo vyombo vya ulinzi na
usalama kudhibiti njia na maeneo yote yanayotumiwa na wafanyabiashara
hao.
” Kama Serikali tunaendelea
kufanya vikao kwa kushirikiana na wakuu wa mikoa na mamlaka zinazohusika
kuangalia namna ya kurasimisha bandari bubu zilizobaki ili tuweze
kukusanya mapato ya Serikali yaliyokuwa yakipotea kutokana na wingi wa
mizigo inayopitishwa” Amesema Mhandisi Ngonyani.
Amefafanua kuwa mwaka katika
kipindi cha mwaka 2015 na mwezi Januari, 2016, doria zilizofanyika
katika maeneo yanayotumiwa na wafanyabishara hao zilifanikisha kukamatwa
kwa wafanyabiashara 98 ambao wote walichukuliwa hatua za kisheria
ikiwem mali zao kutaifishwa pamoja na kuwafikisha mahakamani.
Kuhusu bandari bubu
zilizotambuliwa na kuzirasimishwa na Serikali katika Pwani ya Bahari ya
Hindi ni Mbweni ya jijini Dar es salaam, Mlingotini mkoani Pwani,
Kisiju na Nyamisati mkoa wa Pwani na Bandari bubu ya Kilambo mkoani
Mtwara.
Aidha, amesema Serikali
inaendelea na utaratibu wa kurasimisha bandari binafsi umefanyika katika
ziwa Victoria mkoani Mwanza na maeneo mengine ambayo serikali
inaendelea kuyafanyia kazi.
Kwa upande wake Naibu Waziri wa
Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Hamad Masauni amesema kuwa Serikali
inaendelea kuvijengengea uwezo vikosi vyake vya ulinzi na usalama kwa
kuviongezea vifaa vya kisasa ili viweze kuimarisha doria nchi nzima ili
kukabiliana na vitendo vyote vya uvunjaji wa sheria.
Amesema Jeshi la Polisi
linaendelea kushirikiana na wananchi kukusanya taarifa za kiharifu ili
kuwabaini na kuwakamata wafanyabishara wote wanaojihusisha na uagizaji
na uingizaji wa bidhaa kupitia bandari bubu ambaoumekua ukiisababishia
serikali ikose mapato.
” Vyombo vyetu vya ulinzi na
usalama vinaendelea kukusanya taarifa za kiharifu kutoka kwa wananchi
ili kukabiliana na wimbi hili, pia tunaendelea kuviongezea nguvu vikosi
vyetu vya ulinzi na usalama ili viweze kutimiza majukumu yao ipasavyo”
Amesisitiza Mhe.Masauni.
Serikali yaombwa kusaidia uingizwaji wa mafuta ya watu wenye ualbino
Na: Lilian Lundo – MAELEZO
Taasisi ya Josephat Torner
Foundation inayojishughulisha na watu walemavu wameiomba Serikali
kusaidia uingizaji wa mafuta ya ngozi kwa watu wenye albino nchini.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu
wa taasisi hiyo Josephat Torner alipokuwa akiongea na waandishi wa
habari leo jijini Dar es Salaam ambapo alibainisha changamoto mbalimbali
zinazo wakabili watu wenye ualbino.
“Watu wengi wenye ualbino
wanaishi chini ya miaka 40 kutokana na kukosa mafuta ya kulinda ngozi
dhidi ya miale ya jua, mafuta hayo huwasaidia kutoathilika na magonjwa
ikiwemo kansa ya ngozi,” alisema Torner.
Torner alisema kuwa mafuta ya
ngozi kwa watu wenye ualbino yanauzwa kati ya shilingi 30,000 na 40,000
kwa chupa ambapo mtu mwenye ualbino mmoja anatumia wastani wa chupa tano
kwa mwaka.
Mkurugenzi huyo alisema kuwa
gharama ya mafuta hayo ni kubwa kwa watu wenye ualbino ambao wengi wao
wanaishi maisha ya chini na hasa wale wanaoishi vijijini ambao hawawezi
kumudu kuyapata na kununua mafuta hayo.
Aidha, aliongeza kuwa kama
Serikali itasaidia uingizwaji wa mafuta hayo na kupunguza ushuru ili
yaingie nchini kama madawa kupitia Bohari Kuu ya Dawa (MSD) tofauti na
hali ilivyo sasa ambapo yanatozwa kodi kama vipodozi, hatua hiyo
itasaidia kupunguza kwa kiasi kubwa kushuka bei mafuta hayo na kuwafikia
walengwa.
Kwa upande wake, Mratibu wa
taasisi ya Afrikan Albino Foundation kutoka Netherland nchini Tanzania
Bas Kreukniet amesema kuwa ikiwa Serikali itashiriki katika uingizaji wa
mafuta hayo kuna uwezekano wa mafuta hayo kuuzwa shilingi 4,000 kwa
chupa.
Aliongezea kuwa ikiwa bei ya
mafuta hayo itapungua itawasaidia watu wengi wenye ualbino hasa wa
kipato cha chini na wale waishio vijijini kutumia mafuta hayo na
kuwasaidia kujikinga na miale ya jua.
Hadi sasa taasisi ya Afrikan
Albino Foundation imeweza kuwasaidia watu wenye ualbino wapatao 13,000
tangu waanze kuleta mafuta hayo nchini mwaka 2004 ambapo kila mwezi
jumla ya chupa 5,200 huingizwa nchini kwa ajili ya kuwasaidia watu wenye
ualbino.
Jamii yahimizwa kuwatunza vizuri wanyama wafugwao
Na Mahmoud Ahmad ,Arumeru
JAMII hapa nchini imehimizwa kuhakikisha kuwa inawapa matunzo mazuri
wanayama wafugwao,ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa inawapatia lishe
bora,makazi mazuri na kuwapatia huduma za afya.
JAMII hapa nchini imehimizwa kuhakikisha kuwa inawapa matunzo mazuri
wanayama wafugwao,ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa inawapatia lishe
bora,makazi mazuri na kuwapatia huduma za afya.
Kaimu ofisa mifugo wa Halimashauri ya Wilaya ya Meru,Dkt.Asha Ali
aliyasema hayo juzi alipokuwa akifungua mafunzo ya namna ya kuwatunza
mifugo,kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali ya mifugo kutoka maeneo
mbalimbali hapa nchini.
aliyasema hayo juzi alipokuwa akifungua mafunzo ya namna ya kuwatunza
mifugo,kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali ya mifugo kutoka maeneo
mbalimbali hapa nchini.
Mafunzo hayo ya wiki moja ambayo yalilenga kuwapatia mbinu bora za
utunzaji wa waqnyama, yaliratibiwa na shirika la kuhudumia wanyama
Meru(MAWO) kwa ufadhili wa shirika la wanyama la WTG la Ujerumani
yalifanika katika Kata ya Kikatiti wilayani hapa
.
Wanyama waliolengwa katika mafunzo hayo ni wale ambao wanaonekana
kutokupewa kipaumbele katika jamii licha ya umuhimu wao kwa jamii
ambapo wanayama hao ni punda paka na mbwa.
utunzaji wa waqnyama, yaliratibiwa na shirika la kuhudumia wanyama
Meru(MAWO) kwa ufadhili wa shirika la wanyama la WTG la Ujerumani
yalifanika katika Kata ya Kikatiti wilayani hapa
.
Wanyama waliolengwa katika mafunzo hayo ni wale ambao wanaonekana
kutokupewa kipaumbele katika jamii licha ya umuhimu wao kwa jamii
ambapo wanayama hao ni punda paka na mbwa.
Dkt.Ali ametoa wito kwa wanachuo hao kuhakikisha kuwa wanazingatia na
kushika kwa makini yale yote wanayofundishwa ili waweze kutumia ujuzi
huo kuelimisha jamii mbinu mbalimbali za kuwatunza wanyama hao.
kushika kwa makini yale yote wanayofundishwa ili waweze kutumia ujuzi
huo kuelimisha jamii mbinu mbalimbali za kuwatunza wanyama hao.
Kwa upande wao wakufunzi wa mafunzo hayo,Dkt. Solomon Onyango na
Dkt.Amos Suppet kutoka taasisi Donkey Sanctuary ya Kenya(DSK),wamesema
kuwa katika mafunzo hayo wanachuo hao watafundishwa namna ya kuboresha
maisha ya wanyama ikiwa ni pamoja na kukabiliana na magonywa ya
mifugo.
Dkt.Amos Suppet kutoka taasisi Donkey Sanctuary ya Kenya(DSK),wamesema
kuwa katika mafunzo hayo wanachuo hao watafundishwa namna ya kuboresha
maisha ya wanyama ikiwa ni pamoja na kukabiliana na magonywa ya
mifugo.
Kadhalika wakufunzi hao wametoa wito kwa jamii kuhakikisha kuwa
wanawahudumia vizuri punda kutokana na umuhimu wao wa kubeba
mizigo,kutokuwapiga sana na kuhakikisha kuwa wanawatandikia tandiko
mgongoni ili wasiweze kuchumbuka na kupata vidonda pindi wabebeshapo
mizigo.
wanawahudumia vizuri punda kutokana na umuhimu wao wa kubeba
mizigo,kutokuwapiga sana na kuhakikisha kuwa wanawatandikia tandiko
mgongoni ili wasiweze kuchumbuka na kupata vidonda pindi wabebeshapo
mizigo.
Kwa unde wake mratibu wa mafunzo hayo kutoka shirika la MAWO.Johnson
Lyimo amesema kuwa mpaka sasa Shirika lake kwa kushirikiana na WTG la
Ujerumani wameshatoa mafunzo hayo kwa wanachuo zaidi ya miambili
kutoka maeneo mbalimbali hapa nchini.
Lyimo amesema kuwa mpaka sasa Shirika lake kwa kushirikiana na WTG la
Ujerumani wameshatoa mafunzo hayo kwa wanachuo zaidi ya miambili
kutoka maeneo mbalimbali hapa nchini.
Pia tumekuwa tukizunguka katika vijiji mbalimbali hapa nchini ambapo
tumekuwa tukitoa elimu hii kwa wafugaji ikiwa ni pamoja na kuitibu
mifugo hiyo hususani punda ambao tumewakuta wakiwa na magonjwa
mbalimbali.Na Mahmoud Ahmad ,Arumeru
JAMII hapa nchini imehimizwa kuhakikisha kuwa inawapa matunzo mazuri
wanayama wafugwao,ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa inawapatia lishe
bora,makazi mazuri na kuwapatia huduma za afya.
tumekuwa tukitoa elimu hii kwa wafugaji ikiwa ni pamoja na kuitibu
mifugo hiyo hususani punda ambao tumewakuta wakiwa na magonjwa
mbalimbali.Na Mahmoud Ahmad ,Arumeru
JAMII hapa nchini imehimizwa kuhakikisha kuwa inawapa matunzo mazuri
wanayama wafugwao,ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa inawapatia lishe
bora,makazi mazuri na kuwapatia huduma za afya.
Kaimu ofisa mifugo wa Halimashauri ya Wilaya ya Meru,Dkt.Asha Ali
aliyasema hayo juzi alipokuwa akifungua mafunzo ya namna ya kuwatunza
mifugo,kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali ya mifugo kutoka maeneo
mbalimbali hapa nchini.
aliyasema hayo juzi alipokuwa akifungua mafunzo ya namna ya kuwatunza
mifugo,kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali ya mifugo kutoka maeneo
mbalimbali hapa nchini.
Mafunzo hayo ya wiki moja ambayo yalilenga kuwapatia mbinu bora za
utunzaji wa waqnyama, yaliratibiwa na shirika la kuhudumia wanyama
Meru(MAWO) kwa ufadhili wa shirika la wanyama la WTG la Ujerumani
yalifanika katika Kata ya Kikatiti wilayani hapa
.
Wanyama waliolengwa katika mafunzo hayo ni wale ambao wanaonekana
kutokupewa kipaumbele katika jamii licha ya umuhimu wao kwa jamii
ambapo wanayama hao ni punda paka na mbwa.
utunzaji wa waqnyama, yaliratibiwa na shirika la kuhudumia wanyama
Meru(MAWO) kwa ufadhili wa shirika la wanyama la WTG la Ujerumani
yalifanika katika Kata ya Kikatiti wilayani hapa
.
Wanyama waliolengwa katika mafunzo hayo ni wale ambao wanaonekana
kutokupewa kipaumbele katika jamii licha ya umuhimu wao kwa jamii
ambapo wanayama hao ni punda paka na mbwa.
Dkt.Ali ametoa wito kwa wanachuo hao kuhakikisha kuwa wanazingatia na
kushika kwa makini yale yote wanayofundishwa ili waweze kutumia ujuzi
huo kuelimisha jamii mbinu mbalimbali za kuwatunza wanyama hao.
kushika kwa makini yale yote wanayofundishwa ili waweze kutumia ujuzi
huo kuelimisha jamii mbinu mbalimbali za kuwatunza wanyama hao.
Kwa upande wao wakufunzi wa mafunzo hayo,Dkt. Solomon Onyango na
Dkt.Amos Suppet kutoka taasisi Donkey Sanctuary ya Kenya(DSK),wamesema
kuwa katika mafunzo hayo wanachuo hao watafundishwa namna ya kuboresha
maisha ya wanyama ikiwa ni pamoja na kukabiliana na magonywa ya
mifugo.
Dkt.Amos Suppet kutoka taasisi Donkey Sanctuary ya Kenya(DSK),wamesema
kuwa katika mafunzo hayo wanachuo hao watafundishwa namna ya kuboresha
maisha ya wanyama ikiwa ni pamoja na kukabiliana na magonywa ya
mifugo.
Kadhalika wakufunzi hao wametoa wito kwa jamii kuhakikisha kuwa
wanawahudumia vizuri punda kutokana na umuhimu wao wa kubeba
mizigo,kutokuwapiga sana na kuhakikisha kuwa wanawatandikia tandiko
mgongoni ili wasiweze kuchumbuka na kupata vidonda pindi wabebeshapo
mizigo.
wanawahudumia vizuri punda kutokana na umuhimu wao wa kubeba
mizigo,kutokuwapiga sana na kuhakikisha kuwa wanawatandikia tandiko
mgongoni ili wasiweze kuchumbuka na kupata vidonda pindi wabebeshapo
mizigo.
Kwa unde wake mratibu wa mafunzo hayo kutoka shirika la MAWO.Johnson
Lyimo amesema kuwa mpaka sasa Shirika lake kwa kushirikiana na WTG la
Ujerumani wameshatoa mafunzo hayo kwa wanachuo zaidi ya miambili
kutoka maeneo mbalimbali hapa nchini.
Lyimo amesema kuwa mpaka sasa Shirika lake kwa kushirikiana na WTG la
Ujerumani wameshatoa mafunzo hayo kwa wanachuo zaidi ya miambili
kutoka maeneo mbalimbali hapa nchini.
Pia tumekuwa tukizunguka katika vijiji mbalimbali hapa nchini ambapo
tumekuwa tukitoa elimu hii kwa wafugaji ikiwa ni pamoja na kuitibu
mifugo hiyo hususani punda ambao tumewakuta wakiwa na magonjwa
mbalimbali.
tumekuwa tukitoa elimu hii kwa wafugaji ikiwa ni pamoja na kuitibu
mifugo hiyo hususani punda ambao tumewakuta wakiwa na magonjwa
mbalimbali.
CBE yatoa ufafanuzi tuhuma za upostoshaji.
Mkuu
wa Chuo cha Elimu Biashara (CBE) Prof. Emmanuel Mjema akiwaonesha
waandishi wa habari (hawapo pichani) ripoti ya Mamlaka ya Udhibiti ya
Manunuzi ya Umma (PPRA) ya Mwaka huu inayoonesha chuo hicho ni moja kati
ya Taasisi 14 zilizofanya vizuri kwa kushika nafasi ya kwanza kwa
kupata alama 95.8 katika kufuatilia sheria ya manunuzi ya umma na
kuutaka umma kupuuza taarifa za upotoshaji zinazotolewa na baadhi ya
watu kuwa wanakiuka sheria hizo.PICHA NA HASSAN SILAYO-MAELEZO.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo
Mkuu
wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Prof. Emmanuel Mjema akiwaonesha
waandishi wa habari (hawapo pichani) ripoti ya Mdhibiti na mkaguzi mkuu
wa hesabu za serikali (CAG) inayoonesha kuwa chuo hicho kimepata ziada
ya bilioni 1.2 kati ya mwaka huu na kufanya chuo kujiendesha kwa faida
tofauti na baadhi taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo
vya habari.
………………………………………………………………………………………………………………………
Frank Mvungi-Maelezo
Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE)
kimewataka wananchi kupuuza taarifa za upotoshaji zilizoripotiwa na
Baadhi ya vyombo vya Habari Hapa nchini kuhusu chuo hicho.
Akizungumza na vyombo vya Habari
leo jijini Dar es salaam Mkuu wa chuo hicho Prof. Emmanuel Mjema amesema
tuhuma za kuwa chuo hicho kina ubadhirifu wa kutisha si za kweli na
zinalenga kuchafua taswira ya chuo hicho.
“Chuo kinafanyiwa ukaguzi wa
Hesabu zake na Mkaguzi na Mdhibiti wa hesabu za Serikali na kwa kipindi
cha miaka minne tumepata hati safi (Clean Audit Report) kuanzia mwaka
2010/2011 hadi 2014/2015 .” alisisitiza Prof. Mjema.
Katika ukaguzi huo ripoti hiyo
ilionyesha kuwa Taasisi hiyo imekuwa ikizingatia sheria na kanuni za
matumizi ya fedha za umma hali iliyopelekea kupata hati safi kwa kipindi
chote.
Pia Chuo hicho kilifanyiwa
ukaguzi na Mamlaka ya Udhibiti wa manunuzi Serikalini (PPRA) kwa mwaka
unaoishia 2014/2015 na Chuo hicho kupata alama 95.8 hivyo kuwa moja ya
Taasisi za Umma zinazofanya vizuri katika kuzingatia sheria na kanuni za
manunuzi ya umma.
Prof. Mjema amesema kuwa chuo
hicho kimekuwa kikijiendesha bila kupata ruzuku toka Serikalini na pia
kuzalisha mapato ya ziada zaidi ya bilioni moja kwa kwa kila mwaka wa
fedha kuanzia mwaka 2013 hadi 2015.
Kutokana na Mafanikio hayo chuo
hicho kimeweza kuanzisha Kampasi ya Mbeya ambapo chuo hicho kimenunua
eneo lenye ukubwa wa ekari 54.9 na pia maboresho katika maktaba ya chuo
yamefanyika.
Mafanikio mengine ni kujenga hema
kubwa lenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 740 na kuboresha karakana ya
vipimo na mizani chuoni hapo.
VIJANA WATAKIWA KUACHANA NA UTUMIAJI WA MADAWA YA KULEVYA
Muandaaji
wa tamasha la michezo kwa vijana wa mkoa wa Arusha Neema Mollel ambaye
pia ni Mwenyekiti wa CCM Kata ya Sakina pamoja na mlezi wa Timu za
mpira kata ya Sakina Jijini Arusha akiongea katika fainali za Tamasha la
vijana lililofanyika katika viwanja vya kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid
jijini hapa.
Martini Shimweta( Mdau) ambaye ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Olmatejoo A.
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arusha Mjini Wilfred Soilel.
Diwani wa kata ya Ungalimited akiwa anawaasa vijana kuachana na madawa ya kulevya katika fainali hizo
Kiongozi wa Intersport Club akipokea kombe baada ya ushindi.
…………………………………………………………………………………………………
Na Woinde Shizza,Arusha
Timu
ya Intersport Club yaibuka kidedea katika Tamasha la vijana mara baada
ya kuifunga Club ya mairiva bao 3 kwa 1 katika fainali iliyofanyika
katika uwanja wa Shekhe Amir Abeid uliopo Jijini Arusha.
Tamsha
hilo ambalo lilianza mapema mwanzoni mwa mwezi huu limeweza kufikia
tamati huku vijana wakiwatoa wito kwa wadau mbalimbali wa michezo
kujitokeza kuanzisha mashindano kama haya kwani yanawasiadia kwa kiasi
kikubwa
Akizungumza
wakati wa fainali za mashindano hayo muuandaaji wa mashindano hayo
ambaye ni mwenyekiti wa CCM kata ya Sakina Neema Mollel alisema kuwa
lengo la kuanzisha tamasha hili la vijana ni kuwaleta pamoja vijana na
kuwapa elimu ya jinsi ya kupiga vita utumiaji wa madawa ya kulevya kwa
vijana
Alisema
kuwa vijana wengi wamekuwa wanajishirikisha na utumiaaji wa madawa ya
kulevya ivyo aliona ni bora akatumia muda huu kuwaleta pamoja ili kuwapa
elimu pamoja na kuwashirikisha katika tamasha hili la michezo ambalo
limeweza kuwafundisha vijana wengi huku wengine wakiwa wameamua
kuaachana kabisa na kutumia madawa haya ya kulevya badala yake wameamua
kushiriki katika mazoezi pamoja na michezo
“nia
alisi ya kuandaa mashindano haya ni kuwaleta kwa pamoja vijana pamoja
na kupiga vita madawa ya kulevya kwa vijana,kuwaleta vijana
pamoja,kuwaondoa vijana wasiendelee kukaa mitaani bila kazi kwani
michezo ni ajira”Alisema Neema Mollel
Aidha
aliwataka wazazi na jamii kwa ujumla kuwajengea vijana misingi Imara
ilikuwajengea mtizamo mzuri wa maisha ya mbeleni badala ya kuwatupia
lawama ambazo baadae zinajenga uadui kati yao na wazazi na
jamii.
jamii.
Akikabidhi
kombe kwa washindi ambao ni Interspot Club ,mwenyekiti wa CCM wilaya ya
Arusha Wilfred Soilel amesema kuwa Michezo hujenga hujenga urafiki kati
ya vijana ,wanafahamiana pia afya ya mwili inaimarika, pia itamfanya
kijana ufahamu wake kuchangamka.
Sambamba
ugawaji wa zawadi katika fainali hizo mshindi wa kwanza Intersport club
kutoka kata ya Ungalimited, amekabidhiwa Kombe pamoja na Tsh 100,000
,Mshindi wa pili Mairiva club Tsh 75,000 na mshindi wa tatu ni Black
Eagle Tsh 50,000.
Twanga Pepeta kuzindua Albamu ya 13 Mwanza Jumamosi, kuchangia madawati
……………………………………………………………………………………………………
Na Mwandishi Wetu
Bendi ya muziki ya African Stars “Twanga Pepeta” itazindua albamu yake ya 13 ijulikanayo kwa jina la Usiyaogope Maisha mkoani Mwanza kwenye ukumbi wa Villa Park Jumamosi.
Akuzungumza jijini jana,
Mkurugenzi wa bendi hiyo, Asha Baraka alisema kuwa maandalizi ya
uzinduzi huo yamekwisha kamilika na wanamuziki wake wapo kwenye
maandalizi ya mwisho kwa ajili ya uzinduzi huo.
Mbali ya wimbo wa Husiyaogope
Maisha uliotungwa na Ali Choki, nyimbo nyingine zinazounda albamu hiyo
ni Ndoa (Luizer Mbutu), Uso Chini, (Choki), Michepuko (Msafiri Diouf),
Mapenzi Yanaumiza (Haji Ramadhani) na Ganda la Mua uliotungwa na Saleh
Kupaza ambaye kwa sasa hayupo kwenye bendi hiyo.
Asha alisema kuwa wamekwisha
rekodi nyimbo zote na mauzo ya CD 1000 ya kwanza, yatatumika kuchangia
ununuzi wa madawati mkoani humo. Alisema kila CD itauzwa Sh3, 000 na Sh
1,000 watatumia kununua madawati.
“Hii ni heshima kwa wapenzi wa
muziki wa Mwanza, bendi inafanya uzinduzi wa albamu hii kwa mara ya
kwanza mkoani, albamu zote 12 zilizinduliwa hapa Dar es Salaam, hii ni
mara ya kwanza katika historia ya bendi yetu,”
“Tunataka tuwe tofauti, mpango
wa kununua madawati pia utafanyika katika uzinduzi wa albamu hiyo kwa
mkoa wa Dar es Salaam katika siku itakayopangwa, tumepiga hesabu na
kujua dawati moja ni Sh50,000 (kama utatengeneza mwenyewe), “ alisema
Asha.
Alisema kuwa albamu hii ni ya
aina yake kwani wanamuziki wake wametunga nyimbo ambazo mbali ya
kuburudisha, pia zinatoa mafundisho mbalimbali.
Albamu za nyuma ya bendi hiyo
ni Kisa Cha Mpemba, Jirani, Fainali Uzeeni, Chuki Binfasi, Ukubwa Jiwe,
Mtu Pesa, Safari 2005, Password, Mtaa wa Kwanza, Mwana Dar es Salaam,
Dunia Daraja na Nyumbani ni Nyumbani.
Mwisho….
Caption:
Mkurugenzi wa bendi ya African
Stars, Asha Baraka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)
kuhusiana na uzindua albamu yake ya 13 ijulikanayo kwa jina la Husiyaogope Maisha mkoani Mwanza kwenye ukumbi wa Villa Park Jumamosi Mei 28.
MAJALIWA AWASILI LUSAKA
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Waziri wa Ulinzi wa Zambia,
Christopher Mulenga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Keneth
Kaunda uliopo Lusaka Mei 23, may 2016 ambako leo atamwakilisha Rais
John Magufuli kwenye mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika _ADB.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MATUKIO KATIKA PICHA LEO KUTOKA BUNGENI, DODOMA
Naibu
Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira ambaye pia ni
Mbunge Jimbo la Kisesa, Mhe. Luhaga Joelson Mpina (kushoto) akiwa
ameongozana na Mbunge wa CHADEMA Jimbo la Iringa Mjini, Mhe. Mchungaji
Peter Simon Msigwa wakielekea Bungeni kwa ajili ya vikao vya asubuhi
ndani ya bunge hilo leo 24 Mei, 2016.
Waziri
wa Nishati na Madini, Mhe. Sospeter Mwijarubi Muhongo akiwasili Bungeni
kwa jili ya kuhudhuria vikao vya bunge hilo leo 24 Mei, 2016 mjini
Dodoma.
Mbunge
wa CHADEMA Jimbo la Mikumi, Mhe. Joseph Leonard Haule akiwasili Bungeni
kwa jili ya kuhudhuria vikao vya bunge hilo leo 24 Mei, 2016 mjini
Dodoma.
Naibu
Waziri, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Mb), Mhe. Eng. Edwin
Amandus Ngonyani (kushoto) akiwa ameongozana na Naibu Waziri, Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Eng. Hamad Yusuf Masauni wakielekea ndani
ya Bunge kwa ajili ya vikao vya asubuhi vya bunge hilo leo 24 Mei, 2016.
Naibu
Waziri, Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ambaye pia ni Mbunge Jimbo la
Ngorngoro, Mhe. William Tate Ole-Nasha akiwasili Bungeni kwa jili ya
kuhudhuria vikao vya bunge hilo leo 24 Mei, 2016 mjini Dodoma.
Mbunge
wa Viti Maalum CCM, Mhe. Mary Machuche Mwanjelwa akiwasili Bungeni kwa
jili ya kuhudhuria vikao vya bunge hilo leo 24 Mei, 2016 mjini Dodoma.
Waziri
wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Mhe. Prof. Joyce Lazaro
Ndalichako akiwasili Bungeni kwa jili ya kuhudhuria vikao vya bunge hilo
leo 24 Mei, 2016 mjini Dodoma.
Waziri
wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji ambaye pia ni Mbunge wa CCM Muleba
Kaskazini, Mhe. Charles John Mwijage akiwasili Bungeni kwa jili ya
kuhudhuria vikao vya bunge hilo leo 24 Mei, 2016 mjini Dodoma.
PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA, MAELEZO, DODOMA.
UPUNGUFU WA WAFANYAKAZI HOSPITALI YA WETE UNAWEZA KULETA ATHARI KWA MAMA WAJAWAZITO
Na Masanja Mabula –Pemba .
UPUNGUFU wa wafanyakazi
kwenye wodi ya wazazi katika Hospitali ya Wete unaweza kuleta athari
kwa mama wajawazito na wazazi kutokana na kitendo cha kutumia kitanda
kimoja watu wawili .
Hayo yalibanika baada ya Mkuu
wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Omar Khamis Othman kufanya ziara ya
kushitukiza katika Hospitali , na kuelezea kusikitishwa na kitendo cha
mama wazazi kuchangia kitanda kwa wakati mmoja .
Akizungumzia changamoto hiyo Dk
Mbwana Shoka Salim alisema kuwa pamoja na uwepo wa jengo jengine ambalo
limejengwa kwa ajili ya wazazi , lakini limeshindwa kutumika kutokana
na upungufu wa wafanyakazi .
Awali Mkuu wa Mkoa alitaka
ufafanuzi wa mama wazazi kuchangia kitanda kimoja wakiwa wawili , wakati
jengo lina nafasi kubwa kutosheleza mahitaji ya mama wanakwenda
kujifungua katika hospitali hiyo .
Dk Mbwana alisema , mama mzazi
na mtoto anatakiwa kuwa chini ya uangalizi wakati wote , na kwamba
kitendo cha kuhamia jengo jengine itakuwa ni ufumbufu katika kutoa
hudumia kwa daktari atakaye kuwa zamu .
“Jengo lipo lakini tatizo ni
wafanyakazi , unajua mama mzazi na mtoto anatakiwa kuwa chini ya
uangalizi wakati wote , hivyo kuwahamishia jengo jengine itakuwa ni
usumbufu katika utojai wa huduma ”alifahamisha.
Naye daktari Bikombo Abdalla
alikiri kwamba kitendo cha kuchangia kitanda kimoja wazazi wawili
kunahatarisha maisha ya mama na mtoto kwani baadhi yao wamejifungua kwa
njia ya upasuaji .
“Ni kweli hali hii inahatarisha
maisha ya mama na mtoto kwani baadhi yao wamejifungua kwa njia ya
upasuaji , tunaiomba Serikali ya Mkoa kusaidia kupatikana wataalamu wa
kutosha ili tuweze kutoa huduma vyema ”alieleza.
Katika nasaha zake , Mkuu wa
Mkoa mbali na kusikitishwa na kitendo cha wazazi kuchangia kitanda watu
wawili , pia aliwataka madaktari kutumia lugha nzuri wakati wanapotoa
huduma kwa wateja wao .
Alisema , baadhi ya madaktari
wanapohudumia wagonjwa hutumia lugha chafu jambo ambalo husababisha
lawama kwa Serikali kutokana na kosa la mtu mmoja .
“Tumieni lugha nzuri wakati
mnapohudumia wagonjwa , ili kupunguza lawama kutoka kwa wagonjwa pamoja
na wananchi wanaoleta wagonjwa wao hospitalini hapa ”alisema Mkuu wa
Mkoa .
Hivyo ameahidi kumchukulia hatua za kisheria daktari ambaye atabainika kutumia lugha mbaya na vitisho kwa wagonjwa .
WASHIRIKI WA SHINDANO LA AJIRA YANGU BUSINESS PLAN COMPETITION WAANZA MAFUNZO
Katibu
Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji (NEEC)Bi Beng’i Issa
akigungua mafunzo ya washiriki wa shindano la andiko la Biashara la
ajira yangu Ajira Yangu Business Plan Competition yaliyoanza jana kwenye
ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es salaam ambapo vijana 50
wamefanikiwa kuendelea na shindano hilo baada ya mchujo kufanyika na
kuwapata hao 50, Mchujo huo utaendelea ili kupata maadiko mengine bora
ya kibishara bora 20 na kisha baadaye kupata maandiko bora 10 ambapo
washindi hao 10 watapatiwa mitaji kwa ajili ya kundeleza bishara zao na
kuanzisha biashara pia.
Katika picha kutoka kulia ni
Mwezeshaji Mkuu wa Mafunzo Dkt. ThobiasSwai, Mwakilishi wa ILO Anna
Marie Kiaga na kushoto ni mwakilishi kutoka ILO, Bw. Geras Shirove
Baadhi ya washiriki wa mafunzo
hayo wakiwa kwenye ufunguzi rasmi wa mafunzo yanayofanyika kwenye ukumbi
wa Makumbusho ya taifa jijini Dar es salaam.
E. African Parliament starts budget session
MEMBERS of the East African Legislative Assembly have gathered here for their Sixth Meeting in the Fourth Session of the Third Assembly, which has commenced here yesterday and is expected to climax next month.
South-Sudan joined the community last March making the regional bloc to have six member states, including the founding three - Kenya, Uganda and Tanzania, as well as Rwanda and Burundi who joined later.
The East African Parliament is being presided by the EALA Speaker, Mr Daniel Kidega. The Budget Speech is expected to be delivered next Thursday, by the Chair of the Council of Ministers, Dr Augustine Mahiga.
The Assembly is then expected to debate and approve the Budget as part of its mandate. The Budget Speech is a key activity of the EAC calendar. Last year, EALA debated and approved EAC Budget estimates for the Financial Year 2015/2016 totalling to US $ 110, 660,098.
The 2015/2016 Budget prioritised on the operationalisation of the Single Customs Territory, enhanced implementation of the EAC Common Market Protocol with particular focus on implementation of the new generation EAC internationalised e-Passports and development of the EAC trading, payments and settlement systems.
Debate on the recent State of EAC Address, is also on the menu. On March 8th, 2016, The Tanzanian Prime Minister, Mr Kassim Majaliwa delivered the State of EAC Address to EALA at the 5th Meeting of the 4th Session in Dar es Salaam where he informed the House that progress had been realised following the entry of the Single Customs Territory.
He said that finalisation of key operational instruments, revision of business manuals, development of Monitoring and Evaluation tool framework, deployment of staff and revision of an enforcement framework had opened the path for the operationalisation of the Single Customs Territory in the Partner States. There are also two Bills on the table at the EALA meeting: the EAC Persons with Disabilities (PWD) Bill, 2015 and the EAC Supplementary Appropriation Bill, 2016.
The object of PWD Bill, 2015 is to provide a comprehensive legal framework for the protection of the rights of persons with disability in the Community. The Bill is premised under the provisions of Article 120 (c) of the EAC Treaty under which, Partner States closely co-operate amongst themselves in the field of social welfare with respect to the development and adoption of a common approach towards disadvantaged and marginalised groups.
Such groups include children, the youth, the elderly and persons with disability through rehabilitation and provision of among others, foster homes, health care, education and training. The House is also expected to receive and to debate on a number of Committee reports.
On the other side, its Committees shall hold consultative meetings with the EAC Council of Ministers. The Communications, Trade and Investments Committee has a date with the EAC Council of Ministers to review the EAC Sectional Properties Bill, 2016 and the EA Customs Management (Amendment Act) 2016.
On its part, the General Purpose Committee will consult with the Council on the Supplementary Budget Bill and the PWD Bill respectively, prior to tabling of both Bills in the House
No comments :
Post a Comment