Mwanzilishi
wa Taasisi ya Mkapa (Mkapa Foundation), Rais Mstaafu wa awamu ya tatu,
Mh. Benjamin William Mkapa (kushoto), mgeni rasmi Rais na Mkurugenzi
Mkuu wa Makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL Group),
Mohammed Dewji (kulia) pamoja na Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya
Mkapa Foundation, Balozi Charles Sanga wakiwasili katika sherehe za
miaka 10 ya Mkapa Foundation zilioambatana na harambe ya kutunisha mfuko
wa taasisi hiyo zilizofanyika kwenye ukumbi wa Golden Jubilee Tower.
(Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog
Afisa
Mtendaji Mkuu wa Benjamin Mkapa Foundation, Dk. Ellen Mkondya Senkoro
akitoa historia fupi ya taasisi hiyo kwa wageni waalikwa katika hafla
hiyo.
Mwenyekiti
wa bodi ya wadhamini ya Mkapa Foundation, Balozi Charles Sanga
akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kutoa neno katika
sherehe za miaka 10 ya taasisi isiyo ya kiserikali ya Mkapa zilioenda
sambamba na harambe ya kutunisha mfuko huo.
Msaidizi
mwandamizi katika utawala wa Kampuni ya MeTL Group, Shemane Amin pamoja
na Makamu wa Rais wa Makampuni ya MeTL Group, Vipul Kakad wakiwa kwenye
dakika moja ya ukimya kumkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage
Nyerere ambapo ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa wakati wa sherehe za
miaka 10 ya Mkapa Foundation zilizoenda sambamba na harambe ya kutunisha
mfuko wa taasisi hiyo zilizofanyika April 13, 2016.
Rais
na Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited
(MeTL Group), Mohammed Dewji akizungumza kwenye sherehe za miaka 10 ya
Mkapa Foundation zilizoenda sambamba na harambe ya kutunisha mfuko wa
taasisi hiyo zilizofanyika April 13, 2016.
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga
Abdalah ulega akifungua bomba la maji huku baadhi ya wananchi
wakishuhudia katika kata ya Mkamba kijiji cha Tungi katika hafla fupi ya
kukabidhi kisima cha Maji kilichochimbwa kwa ufadhiri wa Taasisi ya
kimarekani ya African Reflections Foundatioan wiki hii, katika picha
mwenye kofia anayeshuhudia ni Mama Maryborne Pool Mtekelezaji wa mradi
kutoka taaisi ya Marekani kutoka African Reflections Foundatioan na
kushoto ni Diwani Kata ya Mkamba Bw.Dunga Hassan (Picha zote na Raphael
Malekela)
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga
Abdalah ulega akizungumza na baadhi ya wananchi wa kata ya Mkamba kijiji
cha Tungi katia hafla fupi ya kukabidhi kisima cha Maji kilichochimbwa
kwa ufadhiri wa Taasisi ya kimarekani ya African Reflectins Foundatioan,
kulia ni Mama Caren kutoka Taasisi ya African Reflectins Foundatioan na
kushoto ni Mama Maryborne Pool Mtekelezaji wa mradi huo.
Mama Maryborne Pool Mtekelezaji
wa mradi kutoka taaisi ya Marekani kutoka African Reflections
Foundatioan akizungumza jambo huku Mbunge wa jimbo la Mkuranga Mh.
Abdallah Ulega akifurahia wakati wa makabidhiano ya mradi wa maji
katika kijiji cha Tungi wilaya ya Mkuranga.
Mama Maryborne Pool Mtekelezaji
wa mradi kutoka taaisi ya Marekani kutoka African Reflections
Foundatioan na mama Caren kutoka taasisi hiyo pia wakikabidhi madawa ya
majikwa mbunge wa jimbo la Mkuranga Mh. Abdallah Ulega.
Mbunge wa mkutanga Mh. Abdallah
Uleha na Mama Maryborne Pool Mtekelezaji wa mradi kutoka taaisi ya
Marekani kutoka African Reflections Foundatioan wakiimba pamoja na akina
mama wakati wa makabidhiano hayo.
Mbunge wa jimbo la Mkuranga
akisalimiana na wanakikiji ambao ni wapiga kura wake wakati alipowasili
katika kijiji cha Tungi Mkuranga.
Mbunge wa jimbo la Mkuranga akizungumza na akina mama wakati alipowasili kijijini hapo.
Akina mama mbalimbali wakiwa katika makabidhiano ya mradi huo.
Mama Caren kutoka taaisi ya
Marekani kutoka African Reflections Foundatioan akizungumza katika
makabidhiano hayo huku Mbunge wa jimbo la Mkuranga Mh. Abdallah Ulega na
kushoto na Mama Maryborne Pool Mtekelezaji wa mradi kutoka taaisi ya
Marekani kutoka African Reflections Foundatioan
MKUU WA WILAYA IRINGA RICHARD KASESELA AFUNGUA WARSHA YA KUWAWEZESHA WANAFUNZI KUTUMIA KOMPYUTA
Mkuu
wa Wilaya Iringa Richard Kasesela akifungua Warsha ya kuwawezesha
wanafunzi kutumia kompyuta na wavuti (Bring Computer literacy to
children in Tanzania).
Mradi
huo wa Global Out reach ulibuniwa na Bwana Mussle ambaye alitembelea
Tanzania akimtembelea binti yake aliye kuja kijitlea Iringa (hawa ni
raia wa marekani). Mradi huo unafadhiriwa na BENKI KUU YA TANZANIA,
ROTARY INTERNATIONAL, ROMAN CATHOLIC CHURCH IRINGA, ST THOMAS MORE
PARISH KICHANGANI, SUNRISE ROTARY USA, BRADENTON ROTARY USA, ST
STEPHENS, TTCL
Mradi
huo unashirkisha shule 12 Iringa (POMELINI, MAWELEWELE,LUGALO, IRINGA
GIRLS, IFUNDA TECH, NYERERE HIGH SCH, BOMALANG’OMBE,IMAGE, MAFINGA, ST
JOSEPH, ST MICHAEL na CAGLIERO). Kila shule imepata kompyuta na wamepewa
mafunzo, pia wametoa vifaa kwa ajili ya kituo chenye maktaba
kilichotolewa kwa hisani ya baba askofu wa Roman Catholic Iringa.
Mkuu wa wilaya aliwaasa waalimu wote wa shule za sekondari kuanza kufikiria uwezekano wa kuwa na maktaba ya kompyuta. baada ya zoezi la maabara kwisha na madawati kuptakina shule zote kitakacho fuatia ni kuhakikisha shule zote zinakuwa computarized.
Mkuu wa wilaya aliwaasa waalimu wote wa shule za sekondari kuanza kufikiria uwezekano wa kuwa na maktaba ya kompyuta. baada ya zoezi la maabara kwisha na madawati kuptakina shule zote kitakacho fuatia ni kuhakikisha shule zote zinakuwa computarized.
Picha ya pamoja
MSEMAJI WA CCM OLE SENDEKA AWASILI MOSHI
Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka akiwasili kwenye mkutano wa
hadhara uliofanyika eneo la Bomambuzi, Pasua mjini Moshi mkoani
Kilimanjaro leo chana
Msemaji wa CCM, Ole Sendeka akipokewa kwa ngoma maalum na kinamama wa
Mjini Moshi alipowasili kuhutubia mkutanowa hadhara katika eneo la
Bomambuzi, Pasua mjini Moshi mkoani Kilimanjaro leo
Msemaji wa CCM Ole Sendeka akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili
eneo la Bomambuzi, Pasua mjini Moshi leo. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM
mkoa wa Kilimanjaro Iddi Juma.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM, Juma Raibu ambaye ameshinda kesi
ya Udiwani katika Kata ya Mbomambuzi, akisalimia wananchi katika
mkutano wa hadhara uliofanyika Bomambuzi, Pasua mjini Moshi mkoani
Kilimanjaro, wakati wa mkutnao wa hadhara wa Msemaji wa CCM, Ole Sendeka
uliuofanyika katika eneo hilo la Bomambuzi leo.
Mwenyekiti wa CCM wa zamani wa mkoa wa Kilimanjaro Mercy Siro (katikati) akiwa kwenye mkutano huo wa hadhara

Mjumbe wa NEC na Ofisa Mwandamizi katika Idara ya Itikadi na Uenezi,
Makao Makuu ya CCM, Kilumbe Ng’enda akizungumza kumsafishia njia Msemaji
Mkuu wa CCM, Ole Sendeka katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo
katika eneo la Bomambuzi, eneo la Pasua mjini Moshi mkoani Kilimanjaro
Mjumbe wa NEC na Ofisa Mwandamizi katika Idara ya Itikadi na Uenezi,
Makao Makuu ya CCM, Kilumbe Ng’enda akizungumza kumsafishia njia Msemaji
Mkuu wa CCM, Ole Sendeka katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo
katika eneo la Bomambuzi, eneo la Pasua mjini Moshi mkoani Kilimanjaro






No comments :
Post a Comment