Mwenyekiti wa
Bunge, Mtemi Andrew Chenge akiongoza kikao cha Bunge mjini Dodoma
Januari 27, 2016. Mtemi Change ambaye ndiye mbunge wa mufa mrefu kuliko
wrote kwa sasa, alichaguliwa kuwa mmoja kati ya wenyviti wa bunge na Leo
tayari ameianza kazi 
Waziri waWaziri wa
Elimu , Sayansi, Tekinolojia na Mafunzo ya Ufundi Joyce Ndarichako,
bungeni mjini Dodoma Januari 27, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akiteta na Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne
Maghembe, Bungeni mjini Dodoma January 27, 2016. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na wabunge kwenye jengo la Utawala la Bunge mjini Dodoma Januari 27, 2016. Kutoka kushoto ni Ruth Mollel wa Viti Maalu Chadema, Hawa Mwinga wa Viti Maalum Cahdema na Ali Saleh wa Malindi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments :
Post a Comment