KUELEKEA PASAKA, NSSF NA ZSSF KUUMANA LEO UWANJA WA AMAAN
Wanamichezo
wa NSSF wakiwasili Zanzibar kushiriki katika michezo ya Pasaka na
wenyeji wao timu ya ZSSF mchezo wao na timu ya ZSSF unatarajiwa
kufanyika leo katika uwanja wa Amaan, wakiwasili na boti ya Kilimanjaro
4, katika bandari ya malindi Zenj.
Wanamichezo
wa NSSF wakiwasili Zanzibar kushiriki katika michezo ya Pasaka na
wenyeji wao timu ya ZSSF mchezo wao na timu ya ZSSF unatarajiwa
kufanyika leo katika uwanja wa Amaan, wakiwasili na boti ya Kilimanjaro
4, katika bandari ya malindi Zenj.
Wanamichezo
kutoka Dar-es-Salaam wakiwasili katika Bandari ya Zanzibar wakitokea
Dar kwa ajili ya kushiriki Tamasha la Michezo la Pasaka mwaka huu
linafanyika Zanzibar katika viwanja mbalimbali vya michezo na burudani.
Afisa
Uhusiano wa Mfuko wa Jamii wa NSSF na Mkuu wa Msafara wa Wanamichezo wa
NSSF Juma Kintu akisalimiana na Viongozi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii
Zanzibar ZSSF baada ya kuwasili katika bandari ya Zanzibar kuaza utani
wa kimechezo
Wanamichezo
wa Tamasha la Michezo ya Pasaka wakiwasili katika bandari ya Zanzibar
tayari kwa michezo yao leo katika viwanja mbalimbali vya michezo
Zanzibar.
Afisa
Uhusiano wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF Ndg Mussa Yussuf
akiwapokea wageni wao kutoka Mfuko wa Jamii wa NSSF wakati wakiwasili
katika bandari ya malindi Zanzibar.
No comments :
Post a Comment