Wafanyakazi zaidi ya 400 MSD kuwa wanachama wa PPF kwa mpango wa hiari
![]() |
| Viongozi wa MSD na wenzao wa PPF, wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa MSD ambao wamejiunga rasmi na mpango huo wa "Wekeza" |
![]() |
| Mameneja wa PPF |
![]() |
| Baadhi ya wafanyakazi wa MSD waliohudhuria hafla hiyo |
![]() |
| Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa, (MSD), Cosmas Mwaifwani, akizungumza wakati wa hafla hiyo |
![]() |
| Mkurugenzi Mkuu wa PPF, William Erio, akizungumza kwenye hafla hiyo |
![]() | |
| Mkurugenzi wa huduma za kisheria wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Vupe Ligate Mpuya, (Kulia) na Mkurugenzi wa Operesheni wa Mfuko huo, Asumpta Malya, wakiteta jambo |
![]() |
| Mkurugenzi wa Operesheni wa PPF, Asumpta Malya, (Kushoto), akimkabidhi kadi ya uanachama mmoja kati ya wafanyakazi zaidi ya 400 wa MSD, waliojiunga na mpango huo |
![]() |
| Bwana Erio(Mwenye balaghashia), na baadhi ya wajumbe wa bodi ya wadhamini ya Mfuko huo wakishiriki futari hiyo |




















No comments :
Post a Comment